Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI

Mshereheshaji Sauda Simba Kilumanga akiwakaribisha wageni katika ukumbi wa JB Belmont jijini Mwanza kwa ajili ya sherehe za utolewaji wa Tuzo kwa Wanahabari zinazoandaliwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA)Paschal Shelutete akifanya utamburisho wa wageni mbalimbali waliofika katika shughuli hiyo.…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI

Mshereheshaji Sauda Simba Kilumanga akiwakaribisha wageni katika ukumbi wa JB Belmont jijini Mwanza kwa ajili ya sherehe za utolewaji wa Tuzo kwa Wanahabari zinazoandaliwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA)Paschal Shelutete akifanya utamburisho wa wageni mbalimbali waliofika katika shughuli hiyo. Baadhi ya wageni mbalimbali katika shughuli hiyo. Meza kuu iliongozwa na Waziri wa Maliasili na Mazingira ,Lazaro...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA KUJIFUNZA MAENEO YA UTALII AFRIKA KUSINI

 Mwanahabari Vedasto Msungu wa ITV (kushoto) na David Rwenyagira (Radio 5) walikuwa miongoni mwa wanahabari waliofika nje ya Jengo la Mahakama Kuu ya Pretoria ambapo ilikuwa siku muhimu ya utoaji hukumu kwa mwanariadha Oscar Pistorius aliyeshitakiwa kwa makosa ya kumuua mpenzi wake kwa silaha. Unayoyaona hapo nyuma ni magari maalum ya urushaji tukio hilo moja kwa moja katika vyombo mbalimbali vya habari duniani(OB Van) na mahema meupe ni Kambi iliyopigwa na wanahabari hao kwa ajili ya...

 

11 years ago

Michuzi

Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013

Ankal akimkabidhi Tuzo Mtunzi bora wa mwaka bendi Christian Bella.  Ankal akila selfie na Jose Mara aliyeibuka Mwimbaji Bora wa Bendi wa Kiume Ankal na DJ Bonny Love na mdau wakiwa na mshindi wa Wimbo bora wa Afrika Mashariki  Jose Chameleone aliyeibuka kidedea kwa kibao chake cha "Tubonge" (BOFYA HAPA uusikie).
1.Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania ilichukuliwa na wimbo wa Bora Mchawi (Dar Bongo Massive). 2.Msanii Bora chipukizi (Young Killer). 3. Wimbo bora wa Zouk...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI

 Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa pamoja na Mhariri Mkuu wa Habari na Matukio wa  Channel  Afrika ya Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC) Busi Chaane (wa tatu kushoto) pamoja na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Channel Afrika ya SABC Mike Arareng (wa kwanza kulia) walipotembelea studio hizo kwa ziara ya mafunzo. Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013. Kutoka kulia ni Vedasto Msungu (ITV), Gerald Kitabu (The Guardian), David...

 

10 years ago

Dewji Blog

Winners of Media Awards on Electrical Counterfeiting in Africa Receive Awards in France

schneider_electric

A special ceremony held in Grenoble (France) in the presence of Mrs Tracy Garner, Global Anti-counterfeiting Manager at Schneider Electric

Winners of the first Media Awards on Electrical Counterfeiting in Africa on Thursday received their awards during a special ceremony held in Grenoble (France) in the presence of Mrs Tracy Garner, Global Anti-counterfeiting Manager at Schneider Electric (http://www.schneider-electric.com).

The Media Awards on Electrical Counterfeiting in Africa was...

 

10 years ago

Habarileo

Tanapa, Kibaran wakabidhi madawati kwa Rais

SHIRIKA la Hifadhi ya Taifa (TANAPA) limekabidhi msaada wa madawati 278 kati ya madawati 692 katika shule 17 za Tarafa ya Mang’ula na Kidatu wilayani Kilombero, mkoa wa Morogoro.

 

10 years ago

Dewji Blog

Washindi wa Tuzo za CNN wapatikana

PIX 1A

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wageni waalikwa (hawako pichani) wakati wa hafla ya kutoa tuzo za waandishi bora Afrika 2014 zilizofanyika siku ya tarehe 18 Oktoba mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, tuzo ambazo zinatolewa na CNN Multi choice.

Na Benedict Liwenga, Maelezo.

TUZO za waandishi bora wa Afrika 2014 zinazotolewa na CNN Multi Choice zimetolewa rasmi siku ya tarehe 18 Oktoba mwaka huu ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

Washindi wa Maonesho ya Keki Wapatikana Dar

Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.Majaji wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' watipita kukagua, kupata maelezo ya watengenezaji wa keki hizo kabla ya kuwapata washindi.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Baadhi ya wananchi waliotembelea Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' wakipita kuangalia keki.Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) katika maonesho hayo.Marion Elias Mkurugenzi wa Kampuni ya Insights Productions Limited, ambaye pia Mratibu wa Maonesho ya 'Azam World of Cakes Exhibition' akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI WA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM WAPATIKANA

 Hatimaye Washindi wa shindano la Shika Ndinga la 93.7 EFM wamepatikana baada ya mchuano mkali uliofanyika jana Aprili 25, 2015 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam.  Fainali hiyo iliwahusisha washiriki 10 kutoka katika wilaya zote tatu za mkoa wa Dar-es-salaam watano kati yao wakiwa wanawake watano wakiwa ni wanaume. Shindano hilo lilihudhuriwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadik akiwa kama mgeni rasmi, Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani