Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana 100 waepuka tohara Tanzania

Zaidi ya wasichana mia moja wamehifadhiwa katika nyumba salama,baada ya kukimbia kuepuka tohara eneo la Kaskazini mwa Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana 100 Nigeria

Vikosi vya usalama katika jimbo la Borno vinawatafuta wasichana wa shule waliotekwa na watu wanaoshukiwa kua wa kundi hilo hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

Ziwa Victoria hatari kwa wasichana Tanzania

Wasichana waliopo kando kando ya visiwa vya ziwa Victoria mkoani Mwanza nchini Tanzania wapo katika hatari ya kuambikizwa HIV

 

11 years ago

Mwananchi

Usiku kuchangia jengo la wasichana wanaokwepa kukeketwa Tanzania

Niko Hoteli kubwa ya The Russet, katikati ya maskani ya wafanyakazi wa kawaida, Kaskazini ya London.

 

9 years ago

Michuzi

Wasichana walio katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kukuu Huria cha Tanzania

Na erasto Ching’oro Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam na kutunukiwa vyeti vya umahiri na Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana ambaye alikuwa mgeni rasimi kwenye mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo (OUT) tarehe 20 Agosti, 2015. Mapema mwezi Januri, 2015 Chuo Kikuu Huria kwa ushirikiano na asasi ya ‘Nafasi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

kkNaibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam 

Na erasto Ching’oro

 Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AKABIDHI MSAADA KWA WASICHANA WA SHULE YA MSINGI MSIMBAZI MSETO

Miss Universe Tanzania 2014 Caroline Bernard akitoa elimu ya afya kwa wanafunzi wa kike katika shule ya msingi Msimbazi Mseto. Caroline Bernard akiendelea kuwapa darasa wanafunzi hao. Miss Universe Tanzania 2014 Caroline Bernard leo amekabidhi msaada pamoja na kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa watoto wa kike katika shule ya msingi Msimbazi Mseto. Huu ukiwa ni mwendelezo wake katika kufanya kazi za kijamii, Caroline ambaye ndiye...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodaboda Kahama kuhimiza tohara

Zaidi ya waendesha bodaboda 200 watatumika katika kampeni ya kitaifa ya tohara ya mwanaume mkoani Shinyanga.

 

11 years ago

BBCSwahili

''Nalala kichakani kukwepa tohara''

Tohara kwa wanaume ni kitu kinachosifika,lakini wanaume hawa Kenya wanafanyiwa kitendo hicho kwa lazima. Na Odeo Sirari

 

11 years ago

CloudsFM

TOHARA YAUA 19 AFRIKA KUSINI

Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini inasema kuwa wavulana kumi na tisa wamefariki dunia mwaka huu katika sherehe za kitamaduni za kuwapasha tohara wavulana.Mshukiwa huyo Dyana Salim Suleiman, amekanusha mashitaka hayo.
Dyana alijitetea kwa kusema kuwa gari lake lilitekwa nyara na kutumiwa kwa mashamulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kwamba alipigwa na kujeruhiwa vibaya huku akiachwa hali mahututi.

Mshukiwa huyo pamoja na wengine walifikishwa mahakamani Juni 23 ingawa hawakufunguliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani