Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wasomi Afrika wanatuangusha’

Wasomi barani Afrika wameshutumiwa kwa kuendelea kuyaruhusu mataifa ya kigeni kujinufaisha na rasilimali za bara hili, huku wenyewe wakishindwa kuonyesha uwezo wao kitaaluma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KEMMY: WASAMBAZAJI WANATUANGUSHA

Stori: Maria Halimoja LAWAMA! Msanii maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Julieth Samson ‘Kemmy’ amesema wasambazaji wa filamu Bongo wamekuwa kikwazo cha mafanikio yao. Msanii maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Julieth Samson ‘Kemmy’. Akipiga stori na paparazi wetu, Kemmy alisema wasambazaji ndiyo chanzo cha umaskini kwani wamekuwa wakichelewesha filamu kuingia sokoni kwa kuziweka muda mrefu hata...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini

Kifo cha Shujaa aliyepigania Uhuru wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kimedaiwa hakitaathiri kwa namna yoyote mwelekeo wa siasa na uchumi wa nchi hiyo kwa siku zijazo.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AWAELEZA WASOMI JAPAN UMUHIMU WA VITEGA UCHUMI KWA MAENDELEO YA AFRIKA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera 'GRIPS' wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. Baadhi ya wanachuo kutoka mataifa mbalimbali wa Chuo hicho waliohudhuria Muhadhara huo, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati alipokuwa akitoa muhadhara. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaeleza wasomi Japan umuhimu wa vitega uchumi kwa maendeleo ya Afrika

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera ‘GRIPS’ wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. (Picha na OMR).

Na Mwandishi Maalum, Tokyo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal amesema nchi zinazoendelea hususan za Kiafrika bado zinahitaji uwekezaji zaidi vitega uchumi kutoka nje  (FDIs) ili kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wampinga JK

Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa wameikosoa hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa bungeni juzi, huku wengine wakisema inaweza kulivunja Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani