Wasomi wachambua kauli ya Lowassa
GRACE SHITUNDU NA MICHAEL SARUNGI,
DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuweka wazi majaliwa yake ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu yale anayoaamini na kuyasimamia katika taifa, wasomi na wadau wa siasa nchini wamechambua kauli ya kiongozi huyo.
Lowassa juzi alizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Dodoma na kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na vipaumbele vyake, elimu, kupambana na umaskini.
Wakizungumza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Wasomi wachambua kasoro za kampeni
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wasomi, wanasiasa wapinga kauli ya JK
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Wasomi wamshukia Mkapa kwa kauli za kuudhi
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Kauli ya Lowassa Ukawa izingatiwe
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) ambaye pia ndiye mwakilishi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alizungumza na wanachama wa vyama hivyo na kutoa kauli inayostahili kuungwa mkono na wapenda amani wote nchini.
Mgombea huyo, Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya mkataba wa kufua umeme wa kampuni tata ya Richmond, Edward Lowassa, jana alikuwa Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni jijini Dar...
9 years ago
CHADEMA BlogKAULI YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUPINGA MATOKEO YANAYOENDELEA KUTANGAZWA NA NEC
10 years ago
VijimamboKAULI NANE ZA EDWARD LOWASSA WAKATI ANAJIUNGA NA CHADEMA LEO HIZI HAPA
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), leo Jijini Dar na hizi ndizo kauli alizozitoa wakati wa hotuba yake
Lowassa: Namshukuru mke wangu Regina, wanangu na wanafamilia katika kipindi hiki kigumu kilichojitokeza.
Lowassa: Nawashukuru wanaCCM waliojitokeza...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani
Mwenyekiti wa NEC Damian Lubuva Wednesday, September 9, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua […]
The post Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPLWANANCHI WACHAMBUA UONGOZI WA JK
9 years ago
Habarileo12 Sep
Wasanii wachambua mustakabali wa sanaa
WASANII takriban 70 wameshiriki jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kuchambua mada mbalimbali kuhusu mustakabali wa sanaa nchini.