Wataalamu washauriwa wakutane
TAASISI ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imesema ipo haja ya wataalamu kukutana kutafuta mbinu za kumwangamizi mdudu mbu kutokana na madhara yake kwa binadamu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Apr
Kinana aagiza mawaziri 3 wakutane
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka mawaziri wa wizara tatu kukutana mara moja kupanga namna ya kutatua migogoro inayoendelea ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji pamoja na hifadhi za taifa.
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchini, washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!
Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...
11 years ago
Habarileo21 Jul
Waganga washauriwa
WAGANGA wakuu na wasimamizi wa vituo vya afya, zahanati na hospitali, wameshauriwa kutumia vyema fedha za wananchi kutoka katika mifuko ya afya, kununua dawa kuziba pengo la ukosefu wa tiba za uhakika kwa jamii.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wanachama vicoba washauriwa
WANACHAMA wa vikundi vya kuweka na kukopa (VIKOBA) mkoani Arusha wametakiwa kupanga na kutumia vizuri fedha wanazokusanya ili ziwasaidie kutoka daraja moja hadi jingine katika maisha yao. Kauli hiyo ilitolewa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Washauriwa kuchangamkia mfunzo
MWAMKO mdogo wa wajasiriamali katika kujitokeza kwenye mafunzo yanayotolewa bure, umetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kushindwa kupamabana na umasikini. Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido) mkoani...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watanzania washauriwa kushirikiana
WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Waajiri nchini washauriwa
WAAJIRI nchini wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwa na siku maalumu ya kuwakutanisha wafanyakazi na familia zao nje ya maeneo ya kazi, jambo ambalo litawaongezea upendo na ufanisi katika utendaji kazi...
11 years ago
Mwananchi02 Jan