Watakiwa kuhakikisha madaraja ya reli hayatikiswi na mvua
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewataka watendaji wa TRL na RAHCO kutafuta suluhisho la kudumu katika madaraja 32 yaliyo katika mtandao wa reli ya kati ili yasiathiriwe na mvua wakati wote.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
Wakati timu ya wahandisi ikiendelea kufanya tathimni na marekebisho ya awali ya kipande cha reli reli kilichoharibika eneo la Godegode kutokana na mvua kubwa zilizoanza kunyesha mwanzoni mwa Januari mkoani Dodoma, hali imekuwa mbaya zaidi baada ya kipande kingine kuharibika upya.
5 years ago
MichuziWARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA
Na. Erick Mwanakulya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewataka Waratibu wote wa TARURA nchini kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika barabara na madaraja ili kubaini maeneo yanayohitaji ukarabati na kuyafanyia kazi kabla ya kuleta madhara. Mhandisi Seff ameyasema hayo, alipokutana na Waratibu wa TARURA wa Mikoa jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za TARURA Makao Makuu zilizopo Mtumba, ikiwa ni sehemu ya kikao kazi...
11 years ago
MichuziMvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3pgI-apyZI/VJAWJZaWlzI/AAAAAAAANzw/WAGp--vuI7A/s72-c/IMG-20141215-WA0005.jpg)
VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.
Baraza la ushauri la chuo cha mafunzo ya hoteli na utalii (VHTTI) limetakiwa kuhakikisha linaandaa wanafunzi vyema na wenye viwango vya kimataifa ili kukabiliana na ushindani mkubwa ulioko katika sekta ya hoteli na utalii duniani.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...
10 years ago
MichuziVETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANASIKILIZA MAONI YA WADAU WAO ILIKUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5RdN2bKJ*kuiBPDEs8IfGkFARiyYg*9cthuW-vIduv-a*kMuGCH3-oFqo59M-BJKPWCZusEyWKzJBB1i2Xswdx/1.jpg?width=650)
MADARAJA MAPYA JIJINI DAR
  Daraja la Morocco jijini Dar.
   Muonekano wa Daraja la Morocco –Dar.
   Daraja la Ubungo.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Z0qIbd3Qe4/XmahHzvRRrI/AAAAAAALiT0/el3p8HC9rRw1VE5SjIULjgUXAaDZhdY1QCLcBGAsYHQ/s72-c/pix-01-3.jpg)
MADARAJA YASOMBWA NA MAJI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Z0qIbd3Qe4/XmahHzvRRrI/AAAAAAALiT0/el3p8HC9rRw1VE5SjIULjgUXAaDZhdY1QCLcBGAsYHQ/s640/pix-01-3.jpg)
Moja ya Daraja lilisombwa na maji Manispaa ya Morogoro
………………………………..
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Mvua zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa kutofikika, Mito mikubwa kufurika ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi iliyokatiza katikati ya Mji hivyo maji kutiririka kuelekea katika makazi ya watu.
Hata hivyo Wakazi waliopembezoni mwa mito hii mikubwa ukiwemo Mto Morogoro na Mto Mkundi wanasema, pamoja na hali...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Jeshi la polisi mkoani Tabora limetoa agizo kuwachukuliwa hatua polisi wanaojihusisha na uharifu na wanaotoa siri za jeshi hilo: https://youtu.be/ke0jqZIOm3o
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania