Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakiwa kutofuja mahindi ya akiba

WILAYA ya Nkasi mkoani Rukwa, imetajwa kukabiliwa na upungufu wa mahindi, hivyo wakazi wake, hususan wakulima kutakiwa kutofuja akiba iliyopo, bali waitumie kwa uangalifu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasanii watakiwa kujiwekea akiba

WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwani kufanya hivyo kutawasaidia katika maisha yao baada ya kustaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

10 years ago

Habarileo

Gunia la mahindi Sh. 12,000/-

WAKULIMA na wavuvi wa mjini Sumbawanga wameendelea kusota kutokana na kushuka kwa bei ya mahindi na samaki wabichi wanaovuliwa katika Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo kwa kukosa soko la uhakika.

 

10 years ago

Habarileo

RC asema chakula si mahindi tu

MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amekataa taarifa za halmashauri za wilaya na Manispaa mkoani humo kuwa na upungufu wa chakula, akidai takwimu hizo ni za kupika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa mahindi waandamana

WAKULIMA wa mahindi wilayani hapa, Mkoa wa Mbeya wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kujua hatma ya ununuzi wa mahindi yao. Wakizungumza na Tanzania Daima, wakulima hao walisema...

 

11 years ago

GPL

MAHINDI YAMEIBEBA DUNIA-2

Mahindi ya njano
MWAKA 1974 nchi yetu ilipatwa na janga kubwa la njaa lililotokea baada ya ukame kuikumba nchi. Hayati Mwalimu Nyerere alikwenda kuomba msaada wa chakula nchini Marekani ambako Rais wa wakati huo Hayati John F. Kennedy alimpa msaada wa mahindi yenye rangi ya njano. Ilikuwa kasheshe kuzoea kula ugali wa rangi ya njano na wenye sukari kiasi. Wengi waliupa unga huo jina la ‘unga wa yanga’ bila kujua...

 

10 years ago

Habarileo

Mbegu mpya ya mahindi yatambulishwa

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven WassiraMBEGU mpya ya mahindi, Chapa Tembo 719, yenye uwezo wa kuzalisha gunia 45 za nafaka hiyo, imetambulishwa kwa wakulima wa kongani ya Ihemi ya Ukanda wa Kuendeleza Kilimo Kusini Mwa Tanzania (SAGGOT) kwa ajili ya msimu wa kilimo wa 2015/2016 na kuendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

NFRA kununua mahindi Gairo

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ina mpango wa kununua tani 2,500 za mahindi katika Wilaya ya Gairo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani