Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tunaishi maisha ya kambale

Hukumu ya Kesi iliyokuwa ikimkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mkuu, Richard Maliyaga, imeachwa maswali mengi kuliko majibu tunayopaswa kuyapata.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kadinda kutamba na ‘Kambale’ Afrika Kusini

martin_kadindaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MBUNIFU wa mavazi Tanzania, Martin Kadinda, anatarajia kuonyesha mitindo mbalimbali aliyoipa jina la ‘Kambale’ katika maonyesho maalumu yatakayojulikana kama wiki ya mavazi, nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda ambaye aliondoka jijini jana jioni kuelekea Afrika Kusini, alisema mitindo hiyo itajumuisha mavazi ya kiume na viatu vyake vya ‘Mugat’
Alisema maonyesho hayo yamepangwa kuanza kufanyika Jumatano lakini yeye atapanda jukwaani...

 

11 years ago

GPL

JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!

Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini’ . Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi? Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

NDITIYE: MAWASILIANO NI SEHEMU YA MAISHA YA WATANZANIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa nne kulia) akifurahi baada ya kuzindua mnara wa mawasiliano wa kata ya Mkongo, Rufiji mkoani Pwani. Wa nne kushoto kwake ni Mbunge wa Rufiji, Mohammed Mchengerwa
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akizungumza na wananchi wa Ikwiriri, walipomsimamisha njiani akielekea kuzindua mnara wa mawasiliano kata ya Mkongo wilayani Rufiji, Pwani. Wa kwanza kushoto kwake ni Mbunge wa jimbo hilo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho

LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...

 

10 years ago

Vijimambo

Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini

Dar es Salaam. Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini baada ya kubainika kuwa kwenye magari ya abiria maarufu daladala ya jijini humo, yanayotoa huduma za usiku kwa safari za kwenda na kutoka maeneo mbalimbali yamekuwa yakihusishwa na mtandao wa vibaka unaoendesha vitendo vya uporaji na ukabaji.Mtandao huo unaelezwa kufanya vitendo hivyo kwa kutumia silaha mbalimbali ikiwamo visu na bastola, huku baadhi ya vibaka hao wakitumia magari hayo kujificha kwa kujifanya ni abiria.Mbali na...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO

Na Abou Shatry Washington DC 
 Watanzania walioko nchini Marekani, wamechangisha zaidi ya Dola 3,550 kwa ajili ya kumsaidia ndugu Moh'd Said Moh'd anayehitaji kwenda nchini India kwa matibabu.Bi Moza Moh'd Khamis akitoa maelezo machache, Maryam Shaaban kulia, pamoja na Bi Asha Haris, Picha zote na (swahilivilla.blogspot.com)
Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...

 

10 years ago

Michuzi

TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA


 Katika kuonyesha kuwa Benki ya Posta Tanzania (TPB), inafanya inatoa huduma za kibenki, lakini pia iko mstari wa mbele kuwajali wateja wake na wananchi kwa ujumla. Katika kutekeleza hilo,  wafanyakazi wa benki hiyo, wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Sabasaba Moshingi, wamejitolea damu, "kutunisha" benki ya taifa ya damu na hivyo kuokoa maisha ya watanzania ambapo miongoni mwao ni wateja wake. Zoezi la kutoa damu lilifanyika makao makuu ya benki hiyo barabara ya Samora jijini Dar es Salaam....

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka

Watanzania wanne ni miongoni mwa mahujaji zaidi  ya 700 waliopoteza maisha jana kwa mkanyagano wakati wakitekeleza ibada ya hija mjini Mina umbali wa takribani kilometa tano toka mji mtakatifu wa Kiislamu, Makka nchini Saudi, Arabia. 

 

11 years ago

Mwananchi

FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania

>Hapa duniani kuna maradhi aina nyingi yanayotisha, yakisumbua binadamu, kuwatia ulemavu hata kuwa chanzo cha uchumi kutetereka, wakati mwingine kusababisha kifo. Miongoni mwa maradhi hayo ni kuharibika kwa figo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani