Watanzania waliolipuliwa na Osama kuzoa Sh672 bilioni
>Watanzania wanne waliojeruhiwa katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na wengine watano waliofariki dunia katika mlipuko huo watalipwa fidia ya Sh672 bilioni, kiwango ambacho ni sawa na bajeti ya wizara nne za Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kzELoRP2Aac/XmZSGB_3O_I/AAAAAAALiR8/unsdU9XV-p838dlN1p7imAALjYELJ09fQCLcBGAsYHQ/s72-c/21f1ba3d-771c-48a7-95d0-97a4d5d404ae.jpg)
UFARANSA YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.10 KWA AJILI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUJUA LUGHA YA KIFARANSA, AGUSIA MAADHIMISHO YA MIAKA 50...
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
NCHI ya Ufaransa imesema kwamba imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 1.10 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya lugha ya Kifaransa kwa walimu na maprofesa mbalimbali nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha lugha hiyo inazungumzwa na Watanzania wengi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba mkakati wa nchi hiyo ni kuhakikisha lugha ya Kifaransa inaendelea kuwa na watu wengi zaidi ambao watakuwa wanaizungumza kwa ufasaha na kuitumia kama sehemu muhimu ya Mawasiliano...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Australia wajipanga kuzoa medali
9 years ago
Habarileo16 Dec
Ma-RC, DC waagizwa kuzoa taka zilizolundikwa
WAKUU wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini wametakiwa kuhakikisha takataka zote zilizolundikwa wakati wa kazi ya usafi iliyofanyika Desemba 9, nchini kote zinaondolewa.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Mshindi Miss Tanzania kuzoa Sh18 mil
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tvYU7b4yNXU/U7MWeRAypZI/AAAAAAAFuEU/nPZpKs_0scQ/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Magufuli ameendeleza wimbi la kuzoa wanachama wapya wilayani chato
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvYU7b4yNXU/U7MWeRAypZI/AAAAAAAFuEU/nPZpKs_0scQ/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d2tauAu-aG0/U7MWeeH3ykI/AAAAAAAFuEc/SR4UxLRVOdo/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z6CkW7v6yvA/U7MWeq2U1pI/AAAAAAAFuEY/XSwEKJR6QyQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Habarileo01 Nov
Meya atabiri CCM kuzoa viti vingi serikali za mitaa
MEYA wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata amekitabiria Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Desemba 14, mwaka huu baada ya wananchi kubaini viongozi waliowaweka katika uchaguzi uliopita hawawajibiki ipasavyo.
10 years ago
TheCitizen21 Jan
US embassy speaks out on Osama informer
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10