Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WASHIRIKI "INTERNATIONAL DAY" YA ERASMSUS UNIVERSITY OF ROTERDAM TAWI LA ISS THE HAGUE

Watanzania wanaosoma chuo cha EUR wameshirikiana na watazanzania wenzao pamoja na ubalozi katika kushiriki siku ya kimataifa katika Tawi la International Institute of Social Studies kwa heshima ili waone kile kinachokifanya na inaweza kuwa chachu kwa watanzania wengine waliopo maeneo mengine.Washiriki wa kitanzania katika siku ya kimataifa katika Tawi la International Institute of Social Studies,Shamimu na Jackson Bulili wakiwa kwenye banda lao.Sehemu ya Washiriki waliosimama ni Luth John,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

wanafunzi wa Edugates International School iliyoko Jeddah washerehekea International Day

Katika kuadhimisha International Day Saudi Arabia, wanafunzi wa Edugates International School iliyoko Jeddah pamoja na Mwalimu wa KiTanzania  walisherehekea siku hiyo jana ambapo Wanafuzi wa KG2 na Mwalimu wao Bi Sabrina Ali   walivaa Ki-Tanzania na kuimba nyimbo na kucheza ngoma za utamaduniwa Tanzania Wanafuzi wa KG2 wa Edugates International School iliyoko Jeddah  na Mwalimu wao Bi Sabrina Ali wakiimba nyimbo za Tanzania huku wakipeperusha benderaWanafuzi wa KG2 na Mwalimu wao Bi Sabrina...

 

10 years ago

Vijimambo

JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE

  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi Kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania Uholanzi akisoma risala yao
 Rais Kikwete akimpongeza kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania bada ya kusoma risala
 Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. William Masilingi akimkaribisha mgeni
 Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK alipokutana na Watanzania waishio Uholanzi jijini The Hague

Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander

 Wajumbe walioongozana na Rais Kikwete katika ziara hiyo  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu...

 

10 years ago

GPL

JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE‏

Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander…

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania waishio Uholanzi wafurahia kukutana na kuagana na JK jijini the Hague

 Sehemu ya Watanzania lukuki waishio Uholanzi waliojitokeza kumuona na kumaga Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague wakiwa na furaha kwa kupata fursa hiyo adimu Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania lukuki waishio Uholanzi waliojitokeza kumuona na kumaga JK katika ukumbi wa hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague  Wakubwa kwa wadogo walikuwepo
 Hongera sana mkuu...Tutakumiss sana mhishimiwa....Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Newcastle University Scholarships for International Undergraduate Students │ Women in Leadership Executive MBA Scholarship and Many More

Newcastle-uni

Women in Leadership Executive MBA Scholarship

Hull University Business School is pleased to offer a full scholarship to cover the tuition fees of a prospective female student applying for the Hull Executive MBA programme… More

University of South Australia University-Wide Scholarships for International Applicants

The University of South Australia offers the following scholarships to international applicants – International Postgraduate Research Scholarships (IPRS) and University President’s...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.

Ni takribani siku 29 zimepitatangu marehemu Alfred Magege alipo aga dunia mnano 6/13/15 na kuzikwa6/28/15. Familia ya marehemu bado haijasahau na haitasahau moyo wapekee uliojaa upendo, faraja, ukarimu, umoja, mshikamano, undugu naurafiki wa kweli wakati wa kipindi hicho kigumu cha msiba.Kushiriki kwenu kumeipa familia imani, sababu, na nguvunyingine ya kuendelea kukabili maisha pasipo hofu tukitambua familiakubwa iliyotuzunguka kipindi hicho na Mwenyezi Mungu anayetunza sikukwa siku tukiwa...

 

10 years ago

Michuzi

six-day Art Exhibition at the University of Dar es salaam: A STEP FORWARD IN ARTS WORKS

The six-days Art Exhibition opened officially at the University of Dar es Salaam was described as “professional advancement” with an important role in the field of art.  The Vice Chancellor of the University Prof. Rwekeza S. Mukandala observed these remarks when performing the opening ceremony of the exhibition where not less than 134 art works were displayed in the Nkurumah Hall of the University.  Speaking to hundreds of professional artists, budding artists from the Fine & Performing Arts...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani