Watoa huduma za afya watakiwa kuacha kuisingizia NHIF
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umewataka watoa huduma za afya, kuwajibika kwa ufanisi na kuacha kutoa visingizio kuwa NHIF, inachelewesha kulipa fedha za wanachama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-48W6HRM0Hn0/VoqHj_kTkNI/AAAAAAAIQQ0/nR6KHXy6Yys/s72-c/rehani-athumani.jpg)
NHIF YATAMBUA UMUHIMU WA WATOA HUDUMA ZA AFYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-48W6HRM0Hn0/VoqHj_kTkNI/AAAAAAAIQQ0/nR6KHXy6Yys/s640/rehani-athumani.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari, katika ufunguzi wa mkutano wa watoa huduma wa afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Masoko,Elimu kwa Umma na Utafiti Othuman Rehani (Pichani)amesema kwamba Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unatambua mchango mkubwa unaotolewa na watoa huduma za afya kwa wanachama...
10 years ago
MichuziWATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU
11 years ago
Mwananchi06 May
Watakiwa kuacha huduma za uzazi
11 years ago
Habarileo21 Jun
Watoa huduma NHIF kukopeshwa bililioni 10/-
BODI ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imeidhinisha Sh bilioni 10 kwa ajili ya kuwakopesha watoa huduma ili waweze kupata vifaa tiba na kukarabati maeneo yao ya kutolea huduma.
11 years ago
Habarileo02 May
NHIF yaonywa mikopo ya dawa kwa watoa huduma
SERIKALI imeuonya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuwa makini na mpango inaotaka kuuanza katika mwaka ujao wa fedha wa kutoa mikopo ya dawa kwa watoa huduma wote waliosajiliwa.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Wazee watakiwa kuacha pombe, sigara
9 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA KIGOMA WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF).
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)