Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 18 waliofungiwa Moshi wadai kubebeshwa matofali mgongoni

Jeshi la Polisi wilayani hapa, limedai kuwa watoto waliokutwa ndani ya nyumba katika eneo la Pasua, Manispaa ya Moshi siyo wakazi wa Kilimanjaro na walikuwa wakiishi kwenye mateso makubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kizaazaa chaibuka watoto 18 waliofungiwa Moshi

NA RODRICK MUSHI, MOSHI
ZAIDI ya raia 500 wameizingira nyumba moja iliyokuwa imewafungia ndani watoto 18 wenye umri kati ya miaka mitatu na 17 mjini Moshi.
Watoto hao inadaiwa walifungiwa kwenye nyumba hiyo yenye vyumba vinne na choo kimoja ambapo inadaiwa walikuwa wakifundishwa masomo ya dini.
Inaelezwa kuwa watoto hao walifungiwa kwenye nyumba hiyo kwa muda wa miaka mitatu, huku wakifundishwa masomo ya dini hali iliyozua hofu kwa wakazi wa Manispaa ya Moshi.
Taarifa za kuwapo kwa watoto...

 

10 years ago

GPL

WATOTO 3 WALIOFUNGIWA MIAKA 10 NA MAMA YAO MWINGINE TAABANI

Na Haruni Sanchawa
LILE sakata la  mama kuwafungia ndani watoto wake kwa miaka miaka 10 limechukua sura mpya baada ya mkuu wa wilaya hiyo ya Mafia kwenda Kijiji cha Kanga na kumchukua mmoja wa waliofungiwa, Muhadia Ally (pichani juu) ambaye hali yake bado ni mbaya na kumpeleka hospitali ya wilaya. Muhadia Ally akiwa hospitali. Habari za mama mmoja kuwafungia ndani watoto wake zimeandikwa mfululizo na gazeti hili kuanzia...

 

9 years ago

StarTV

Wagonjwa wadai kushindwa kumudu gharama Matibabu Kcmc Moshi

Gharama kubwa za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zinadaiwa kuwaweka njia panda baadhi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma za tiba hospitalini hapo.

Baadhi ya wagonjwa hulazimika kutoroka hospitalini hapo na wengine kutelekezwa  na ndugu zao kutokana na gharama kubwa wanazopaswa kulipia.

Mtoto Frank aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wa idara ya Upasuaji ambaye alifanyiwa upasuaji wa tumbo hivi Karibu anatajwa kuwa ni miongoni mwa wagonjwa...

 

11 years ago

GPL

DUDE AKIRI KUBEBESHWA MADAWA YA KULEVYA

Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amekiri kubebeshwa madawa ya kulevya bila kujua na kujikuta akiponea chupuchupu kutokana na umaarufu wake. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema amewahi kubebeshwa unga na rafiki yake wa karibu ambaye hakumtaja jina na walikuwa wakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Tanzania.Alisema wakati wanaanza safari...

 

9 years ago

Habarileo

Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu

MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Aliyeficha’ watoto 18 Moshi ajitetea

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey KamwelaSIKU mbili baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumba moja katika Kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, iliyotumika kuhifadhi zaidi ya watoto 18 kinyume cha utaratibu, mmiliki wa nyumba hiyo yenye vyumba vinne na choo kimoja, ameibuka na kujitetea licha ya kwamba anashikiliwa na polisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto walemavu na albino moshi, walivyosaidiwa na juhudi za kibinafsi

Hii ni methali ya Kiswahili, inayoendana na mtazamo wetu Afrika kwa walemavu. Je, tunawafahamu na kuwaafiki? Si ajabu wapiga ngoma ya Kisambaa ya Mdumange miaka ya 1980 walitukumbusha tuwathamini walemavu. Sina hakika kama leo bado wimbo wa ngoma hiyo ungalipo Radio Tanzania au idhaa nyingine.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa

NapeNA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani