Watoto 18 waliofungiwa Moshi wadai kubebeshwa matofali mgongoni
Jeshi la Polisi wilayani hapa, limedai kuwa watoto waliokutwa ndani ya nyumba katika eneo la Pasua, Manispaa ya Moshi siyo wakazi wa Kilimanjaro na walikuwa wakiishi kwenye mateso makubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Mar
Kizaazaa chaibuka watoto 18 waliofungiwa Moshi
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
ZAIDI ya raia 500 wameizingira nyumba moja iliyokuwa imewafungia ndani watoto 18 wenye umri kati ya miaka mitatu na 17 mjini Moshi.
Watoto hao inadaiwa walifungiwa kwenye nyumba hiyo yenye vyumba vinne na choo kimoja ambapo inadaiwa walikuwa wakifundishwa masomo ya dini.
Inaelezwa kuwa watoto hao walifungiwa kwenye nyumba hiyo kwa muda wa miaka mitatu, huku wakifundishwa masomo ya dini hali iliyozua hofu kwa wakazi wa Manispaa ya Moshi.
Taarifa za kuwapo kwa watoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvu4V3s8svnXnW4te-*ML60f3O9oE7S141Q52tVGCjvf-EVlrTFOTp2XvQqdQrAcv8rxJ1SSsdLc5mhgpi6o5r9C/Mafia.jpg?width=650)
WATOTO 3 WALIOFUNGIWA MIAKA 10 NA MAMA YAO MWINGINE TAABANI
9 years ago
StarTV17 Dec
Wagonjwa wadai kushindwa kumudu gharama Matibabu Kcmc Moshi
Gharama kubwa za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zinadaiwa kuwaweka njia panda baadhi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma za tiba hospitalini hapo.
Baadhi ya wagonjwa hulazimika kutoroka hospitalini hapo na wengine kutelekezwa na ndugu zao kutokana na gharama kubwa wanazopaswa kulipia.
Mtoto Frank aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wa idara ya Upasuaji ambaye alifanyiwa upasuaji wa tumbo hivi Karibu anatajwa kuwa ni miongoni mwa wagonjwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNZflZfCcwU6mbmxjwWYy15fSxFLdczB1tnXpvlqXIrkNx4QbKfcop00Fy7SZV52*kfgvw9zuoBW*WqcMyNxgKfN/dude.jpg?width=650)
DUDE AKIRI KUBEBESHWA MADAWA YA KULEVYA
9 years ago
Habarileo21 Aug
Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
10 years ago
Habarileo10 Mar
‘Aliyeficha’ watoto 18 Moshi ajitetea
SIKU mbili baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumba moja katika Kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, iliyotumika kuhifadhi zaidi ya watoto 18 kinyume cha utaratibu, mmiliki wa nyumba hiyo yenye vyumba vinne na choo kimoja, ameibuka na kujitetea licha ya kwamba anashikiliwa na polisi.
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Watoto walemavu na albino moshi, walivyosaidiwa na juhudi za kibinafsi
10 years ago
Mtanzania11 May
Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa
NA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...