Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto walemavu na albino moshi, walivyosaidiwa na juhudi za kibinafsi

Hii ni methali ya Kiswahili, inayoendana na mtazamo wetu Afrika kwa walemavu. Je, tunawafahamu na kuwaafiki? Si ajabu wapiga ngoma ya Kisambaa ya Mdumange miaka ya 1980 walitukumbusha tuwathamini walemavu. Sina hakika kama leo bado wimbo wa ngoma hiyo ungalipo Radio Tanzania au idhaa nyingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMBUENI JUHUDI ZETU KUZUIA UKATILI DHIDI YA WALEMAVU WA NGOZI-TANZANIA

Na Mwandishi Maalum, New York


Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  imesisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa ya kutambua mchango unaofanywa na serikali   wa kukabiliana na vitendo vya kikatili  dhidi ya  wananchi  wake  wenye  matatizo  ya   ulemavu wa ngozi ( albino)

Wito huo  wa Tanzania umetolewa  mapema  wiki hii ( Jumanne) wakati   Wajumbe wa Kamati ya Tatu ya  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa  walipopitisha kwa  kupiga kura,  Azimio  linalotaka   Juni    13 ya  kila mwaka iwe ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino

DSC_0233

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye  anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. 

Na Mwandishi wetu

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...

 

10 years ago

GPL

UN YATAKA JUHUDI ZAIDI KUKABILI MAUAJI YA ALBINO‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. Na...

 

10 years ago

Habarileo

‘Msifiche watoto walemavu’

TAASISI ya Tiba ya Mifupa (MOI) imewataka wazazi wenye watoto wadogo wenye matatizo ya miguu na mikono iliyopinda kuachana na mila potofu kwa kuwaficha, badala yake wawahishe hospitali ili kupata matibabu na kukua vizuri.

 

10 years ago

Michuzi

WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE

(Meneja msaidizi wa kituo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre,Sophia Moshi akibadilishana mawazo na meneja mkuu wa kituo hicho,Claus Heim).  Mahmoud Ahmad, ArushaSERIKALI imeombwa kuchukua hatua kali kwa baadhi ya wazazi nchini wenye tabia ya kuwaficha watoto wao wenye ulemavu hali ambayo imekuwa ikiwafanya wakose mahitaji ya msingi kama elimu na afya.
Ombi hilo limetolewa hivi karibuni na uongozi wa chuo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre  huku wakiiomba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msalaba Mwekundu yasaidia watoto walemavu

CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) Manispaa ya Temeke, kimetoa zaidi ya jozi 900 za viatu na sabuni za kuogea na kufulia kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo....

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yaipongeza juhudi zinazofanywa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation za kusaidia watoto njiti!

DSC_1839

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki  akizungumza mbele ya wanahabari, madaktari na baadhi ya akina mama waliokuwa na watoto waliozaliwa kabla ya wakati maarufu kama Njiti (Hawapo pichani). Kushoto ni DoriS Mollel ambaye ni Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) na wengine ni maafisa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAIPONGEZA JUHUDI ZINAZOFANYWA NA TAASISI YA DORIS MOLLEL FOUNDATION ZA KUSAIDIA WATOTO NJITI

DSC_1839Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akizungumza mbele ya wanahabari, madaktari na baadhi ya akina mama waliokuwa na watoto waliozaliwa kabla ya wakati maarufu kama Njiti (Hawapo pichani). Kushoto ni DoriS Mollel ambaye ni Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) na wengine ni maafisa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, ModewjiblogSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani