Watoto walemavu na albino moshi, walivyosaidiwa na juhudi za kibinafsi
Hii ni methali ya Kiswahili, inayoendana na mtazamo wetu Afrika kwa walemavu. Je, tunawafahamu na kuwaafiki? Si ajabu wapiga ngoma ya Kisambaa ya Mdumange miaka ya 1980 walitukumbusha tuwathamini walemavu. Sina hakika kama leo bado wimbo wa ngoma hiyo ungalipo Radio Tanzania au idhaa nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
Vijimambo24 Nov
TAMBUENI JUHUDI ZETU KUZUIA UKATILI DHIDI YA WALEMAVU WA NGOZI-TANZANIA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa ya kutambua mchango unaofanywa na serikali wa kukabiliana na vitendo vya kikatili dhidi ya wananchi wake wenye matatizo ya ulemavu wa ngozi ( albino)Wito huo wa Tanzania umetolewa mapema wiki hii ( Jumanne) wakati Wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa walipopitisha kwa kupiga kura, Azimio linalotaka Juni 13 ya kila mwaka iwe ni...
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi.
Na Mwandishi wetu
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...
10 years ago
GPL
UN YATAKA JUHUDI ZAIDI KUKABILI MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Habarileo17 Jun
‘Msifiche watoto walemavu’
TAASISI ya Tiba ya Mifupa (MOI) imewataka wazazi wenye watoto wadogo wenye matatizo ya miguu na mikono iliyopinda kuachana na mila potofu kwa kuwaficha, badala yake wawahishe hospitali ili kupata matibabu na kukua vizuri.
10 years ago
Michuzi
WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE

Ombi hilo limetolewa hivi karibuni na uongozi wa chuo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre huku wakiiomba...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Msalaba Mwekundu yasaidia watoto walemavu
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) Manispaa ya Temeke, kimetoa zaidi ya jozi 900 za viatu na sabuni za kuogea na kufulia kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo....
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Serikali yaipongeza juhudi zinazofanywa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation za kusaidia watoto njiti!
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akizungumza mbele ya wanahabari, madaktari na baadhi ya akina mama waliokuwa na watoto waliozaliwa kabla ya wakati maarufu kama Njiti (Hawapo pichani). Kushoto ni DoriS Mollel ambaye ni Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) na wengine ni maafisa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi18 Nov
SERIKALI YAIPONGEZA JUHUDI ZINAZOFANYWA NA TAASISI YA DORIS MOLLEL FOUNDATION ZA KUSAIDIA WATOTO NJITI

Na Andrew Chale, ModewjiblogSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza...