Watoto wenye Ulemvu Moshi wapokea msaada wa Viti maalum vya kutembelea
![](http://1.bp.blogspot.com/-mcOJbjQr_2o/UxM-hsEvx3I/AAAAAAAFQiY/i9wvthkxDUg/s72-c/unnamed+(92).jpg)
Watoto wenye ulemavu wa kituo cha House of Hope kilichopo mkoani Moshi wamepokea msaada wa fedha zitakazo wawezesha kununua viti maalum vya kutembelea vyenye thamani ya shilingi milioni 5 zilizotolewa na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kituo hicho kilichopo chini ya Hospitali ya CCBRT. Akizungumza wakati wa zoezi la kukabidhi Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Philemon Chacha amesema viti hivyo maalum vya kutembelea vimetolewa kwaajili ya kuwasaidia watoto wenye ulemavu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Vituo vitatu vya watoto wenye uhitaji maalum vyapokea zawadi za krismasi kutoka PSPF
![](http://2.bp.blogspot.com/-gduBIfGPWC0/VIxWLHxSb-I/AAAAAAAAZYk/0wVItceyWGQ/s1600/IMG_20141210_132655%2B-%2BCopy%2B-%2BCopy.jpg)
Kulia ni Afisa Mfawidhi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Mkoa wa Shinyanga Erick Chinimbaga na Afisa Fedha kutoka PSPF Makao Makuu ( kushoto) Samweli Haule wakiwakabidhi zawadi za Krismasi watoto wenye ulemavu wa ngozi katika kituo cha Buhangija kilichopo Shinyanga zawadi za Sikukuu ya Krismasi hapa watoto wenzao wakipokea zawadi hizo kwa niaba.
Akikabidhi Msaada huo Afisa Fedha wa PSPF kutoka Makao Makuu alisema kwamba Mfuko wa Pensheni wa PSPF unalo lengo la kuwasaidia watoto wenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s72-c/m1AA-768x512.jpg)
MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AKABIDHI VITI VYA MWENDO (WHEELCHAIRS) KWA WABUNGE KWA AJILI YA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s640/m1AA-768x512.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-gduBIfGPWC0/VIxWLHxSb-I/AAAAAAAAZYk/0wVItceyWGQ/s1600/IMG_20141210_132655%2B-%2BCopy%2B-%2BCopy.jpg)
VITUO VITATU VYA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM VYAPOKEA ZAWADI ZA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF
10 years ago
MichuziNIC YATOA MSAADA WA VIFAA VYA ELIMU KWA WATOTO WENYE UONI HAFIFU KITUO CHA ALBINO BUHANGIJA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nuoWsihaC3k/VUDGx4KO5MI/AAAAAAAAAFU/hB66Gxo6jLc/s1600/12.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p6PjeHNdrt0/XncrOjG_HwI/AAAAAAALkts/QKqg5rWCP0Q69RgfMgs4l-foJOaRfmq5ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200322-WA0015-768x513.jpg)
KAWAMBWA AKABIDHI VITI MWENDO KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-p6PjeHNdrt0/XncrOjG_HwI/AAAAAAALkts/QKqg5rWCP0Q69RgfMgs4l-foJOaRfmq5ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200322-WA0015-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200322-WA0009-1024x684.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200322-WA0010-1024x684.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1.Ofisa-uhusiano-wa-Global-Publishers-Soud-Kivea-katikati-akizungumza-jambo-mbele-ya-wanahabari-hawapo-pichani..jpg?width=620)
UWAZI LATOA MSAADA WA VITI VYA WAGONJWA, MOI
11 years ago
MichuziHOSPITALI YA MUFINDI YAPATA MSAADA WA VITI VYA KUBEBA WAGONJWA
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Wasanii Watakiwa Kukumbuka Watoto Wenye Mahitaji Maalum
Afisa Habari wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Aristides Kwizela (Kushoto) akifuatilia burudani zilizokuwa zikitolewa na watoto wanaondaliwa na Baraza hilo kupitia programu ya ‘Sanaa kwa Watoto’ wakati wakitumbuiza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA mapema wiki hii. Watoto hao wanatoka shule ya Msingi ya Msimbazi iliyoko Ilala jijini Dar es Salaam. Katikati ni Msanii wa filamu Honeymoon Mohamed na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Stadi za wasanii Bi. Vick Temu.
Katibu Mtendaji wa...