HOSPITALI YA MUFINDI YAPATA MSAADA WA VITI VYA KUBEBA WAGONJWA
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Goodluck Mlimbila akijaribu kusukuma moja kati ya viti 33 vilivyotolewa na asasi ya MUVIMA kwa ajili ya hospitali ya wilaya ya Mufindi. Anayefurahi katikati ni mkurugenzi mwenza wa MUVIMA, Albert Chalamila akipongezwa na Katibu wa Afya wa Wilaya hiyo, Atupekisye Mwakifamba
Albert Chalamila na baadhi ya wanahabari wakiangalia hali ilivyo ndani ya wodi ya wazazi ya hospitali hiyo; hapa wanaonekana baadhi ya wajawazito wanaolala chini kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1.Ofisa-uhusiano-wa-Global-Publishers-Soud-Kivea-katikati-akizungumza-jambo-mbele-ya-wanahabari-hawapo-pichani..jpg?width=620)
UWAZI LATOA MSAADA WA VITI VYA WAGONJWA, MOI
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKABIDHI MSAADA WA MAGARI YA WAGONJWA KWA HOSPITALI ZA WASSO NA ENDULENI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mcOJbjQr_2o/UxM-hsEvx3I/AAAAAAAFQiY/i9wvthkxDUg/s72-c/unnamed+(92).jpg)
Watoto wenye Ulemvu Moshi wapokea msaada wa Viti maalum vya kutembelea
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA KAIRUKI YAPATA TUZO YA UBORESHAJI VIWANGO VYA HUDUMA YA AFYA
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ameukabidhi uongozi wa Hospitali ya Kairuki (KH) tuzo ya waliofanya vizuri katika vigezo mbalimbali vya uboreshaji viwango vya huduma...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA TANZANIA WAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA KWA AJILI YA HOSPITALI NANE ZINAZOLAZA WAGONJWA UNGUJA NA PEMBA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO4V1Lw8eS3YYTgJc-Q2Rg8ViqHaLa8DCLiTf6K9wzI7JuSY2xwqIjXPO8egMVp*jlkv1dT8O9x8*XuO5RIVgm5/001.MAKUMBUSHO.jpg)
SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...
10 years ago
Dewji Blog25 May
UNFPA wakabidhi msaada wa gari la wagonjwa, jengo na vifaa vya upasuaji Geita
Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Kassim Majaliwa (wa pili kulia) akisalimiana na Meneja Biashara Idara ya Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Grace Lyon mara baada ya kuwasili kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kutokomeza Fistula yaliyofanyika kitaifa katika Wilaya Mbogwe, Geita. Kulia ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Mbogwe, Amani Mwenegoha na Kushoto ni Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Haika Mawalla na wa pili kushoto...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-evwpp3qaA_c/Ve7QGJ4hoBI/AAAAAAAH3Vw/I3dlwhMQSuw/s72-c/Mizengo-Pinda18.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI MAGARI YA KUBEBA WAGONJWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-evwpp3qaA_c/Ve7QGJ4hoBI/AAAAAAAH3Vw/I3dlwhMQSuw/s320/Mizengo-Pinda18.jpg)
Waziri Mkuu amekabidhi magari hayo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa Septemba 2013 alipofanya ziara ya kikazi ya mkoa wa Arusha na kubaini adha ya usafiri iliyokuwa ikiwapata wakazi wa kata za Wasso na Enduleni zilizoko...