Watu 92,000 kupiga kura Chalinze
JUMLA ya watu 92,939 wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Chalinze utakaofanyika Jumapili ijayo. Takwimu hizo zilitolewa wilayani hapa juzi na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s72-c/01.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura
![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HCd_PviCZk/U0BVixbE10I/AAAAAAAFY0M/QjkmDYMw94U/s1600/02.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Vituo 288 kutumika kupiga kura leo Chalinze
UCHAGUZI mdogo wa ubunge Chalinze, Bagamoyo, mkoani Pwani unaofanyika leo ambapo jumla ya vituo 288 vya kupigia kura vilivyotumika katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 vitatumika tena. Akizungumzia maandalizi ya...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kwanini watu hawapendi kupiga kura?
TUMESHUHUDIAuchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa na...
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Watu milioni 11 tu kupiga kura J’pili
Katika uchaguzi huo, watakaochaguliwa ni wenyeviti wa vijiji na wajumbe wa halmashauri za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa kamati za mitaa na wenyeviti wa vitongoji.
Mkoa wa Katavi umeongoza kwa kuandikisha asilimia 78 ya wapigakura huku mkoa wa Dar es Salaam umetajwa kufanya vibaya katika kuandikisha wapiga kura,...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Zitafutwe sababu watu kutoshiriki kupiga kura
9 years ago
Mwananchi22 Oct
IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura
9 years ago
VijimamboWATU WAMESHAANZA KUPANGA FOLENI TAYARI KWA KUTAKA KUPIGA KURA
Kituo cha Magomeni mapipa kata ya Suna wananchi wamisha anza kujipanga ili wapige kula kumchagua kiongozi wanaeamini kuwa anaweza kuwaongoza na kuwaletea maendeleo.
Msimamizi wa kituo cha upigaji kura akielekeza wananchi wapi wajipange ili wapige kura zao kwa utaratibu uliopangwa.
Habari ndiyo hii
Mwananchi akitafakari kura yake aipeleke wapi
Mmoja wa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura kata ya Suna Magomeni mapipa hii ni live bila chenga.