Watu saba wafa Njombe, Pwani
WATU saba wamekufa katika mikoa ya Njombe na Pwani katika ajali za gari na mtoto kutumbukia kwenye ndoo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Wahamiaji 40 wafa maji pwani ya Italy
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s72-c/image061%2B(1).jpg)
WANNE WAFA AJALAINI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s1600/image061%2B(1).jpg)
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Ulrich Matei alisema kuwa watu hao walikuwa wakimpeleka mgonjwa hospitali.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 5 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana huko eneo la Fukayosi Tarafa ya Msata wilaya ya Bagamoyo.
Alisema kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Saba wafa ajalini mkoani Manyara
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wakimbizi saba wa Burundi wafa Kigoma
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Wakimbizi wengi wafa maji pwani Libya
10 years ago
GPLWANNE WAFA WAKIHOFIA KUTOKEA AJALI HUKO PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Pwani yaongeza ufaulu darasa la saba
MKOA wa Pwani umeongeza ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba ambapo jumla wanafunzi 13,242 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwenye shule mbalimbali za sekondari.
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Watu 20 wafa, 15 wajeruhiwa
WATU 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa barabara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino...