Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili wadaiwa kutelekeza begi la pembe za Tembo

>Watu wawili wanaosadikiwa ni majangili wametelekeza  begi  moja likiwa na vipande saba vya pembe za Tembo,  vyenye uzito wa kilo 19 vikiwa na  thamani ya zaidi ya Sh45 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ni meno ya tembo au pembe za ndovu?

Yapo makosa mengi tunayosoma katika magazeti. Makosa ninayoyazungumzia katika makala zangu ni ya lugha.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru

Raia wanne Wachina wanashikiliwa Kituo cha Polisi Kyela kwa tuhuma za kukutwa na pembe 11 za faru zinazodaiwa kutokea Msumbiji zikiwa na thamani isiyopungua Sh800 milioni.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa na pembe za faru

Raia wanne Wachina wanashikiliwa Kituo cha Polisi Kyela kwa tuhuma za kukutwa na pembe 11 za faru zinazodaiwa kutokea Msumbiji zikiwa na thamani isiyopungua Sh800 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete: Tusaidieni kufunga masoko ya pembe za tembo

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuia ya Kimataifa kusaidia kukomesha na kufunga masoko ya pembe za tembo na faru kama moja ya njia za kukomesha mauaji na biashara haramu ya wanyamapori...

 

11 years ago

Habarileo

Wachina wa meno ya tembo wadaiwa kutaka kuhonga

RAIA watatu wa China wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4, wanadaiwa kujaribu kutoa rushwa ya Sh milioni 30.2 kwa askari ili wasifunguliwe mashitaka.

 

9 years ago

Mwananchi

Vigogo TAA kortini, wadaiwa kusafirisha meno ya tembo

Maofisa usalama wanne wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kuchora michoro ya kihalifu ya kusafirisha nyara za Serikali zenye thamani ya Sh267.4 milioni na matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

Michuzi

MMOJA NA WENZAKE WAWILI MBARONI KWA KUKUTWA NA PEMBE ZA NDOVU MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kw ajina la DOUGLAS S/O MNYEKE, Miaka 46, Mkaguru Mukulima na Mkazi wa kijiji cha Silwa Kata ya Pandambili, Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma akiwa na pembe za ndovu vipande vitatu vyenye uzito wa jumla ya kilo 12 na gramu 30 vyenye thamani ya Tshs. 11, 162, 250/= vikiwa nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME –...

 

10 years ago

GPL

MZIMU WA KANUMBA WADAIWA KUUA WAWILI

mwandishi wetu
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya pazia ya vifo vyao, mzimu wa Kanumba unatajwa kuhusika kutokana na watu hao kutaka kuishi mahali pa marehemu huyo, endelea kusoma Risasi Jumamosi. Aliyekuwa staa wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba. SOMA TUKIO HILI LA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili mbaroni kwa meno ya tembo

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani