Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazanzibari wanaumia, mkwamo umalizike

ZANZIBAR ni mkusanyiko wa visiwa viwili vya Unguja na Pemba vilivyoko katika Bahari ya Hindi Mash

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wanaumia bei ya gesi ya majumbani

MWAKA 2014 hali ya maisha kwa Watanzania wa kawaida  imezidi kuwa ngumu kutokana na kila kitu kupanda bei. Mambo yaliyonishtua na kusababisha niandike mtazamo huu ni kutokana na bei ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kamati ya Bunge yataka mradi umalizike kwa wakati



                                                                                    NA WILLIAM SHECHAMBO, Morogoro Mwenyekiti, Prof. Msolwa (Mwenye shati jeupe)KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo, na Maji, imesisitiza kukamilika kwa mradi wa maji wa Ubena Zomozi, ulioko Chalinze mkoani Pwani katika muda uliopangwa. Imesema hatua hiyo itawapa unafuu wananchi wa vijiji kadhaa vya wilaya za Bagamoyo na baadhi ya maeneo ya Morogoro, kutokana na kukumbwa na shida ya maji kwa kipindi...

 

9 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF NA MKWAMO WA KISIASA ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishin wa Habari katika ofisi za CUF Mtendeni kuhusiana na maendeleo ya “mkwamo” wa kisiasa Zanzibar. Picha na Salmin Said, OMKR
Na Hassan Hamad (OMKR)Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema jitihada za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na tamko la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Jecha Salim Jecha baada ya kutangaza kufuta uchaguzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Hofu hii ya mkwamo inatoka wapi?

Waswahili wanasema kuwa ‘nyimbo mbaya hachombezewi mtoto,’ maneno haya yana maana kubwa hasa katika malezi na makuzi, yawe ya mtoto au hata ya taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatima ya mkwamo wa kisiasa

Juma lililopita makala haya yaliishia ‘Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume kuuawa. Mwalimu Nyerere alimweka kizuizini mmoja wa watu waliotuhumiwa kupanga Mapinduzi, Abdulrahman Babu’. Endelea.

 

11 years ago

GPL

NENO LA LEO: MKWAMO WA KATIBA NA MSAFARA WA TEMBO..

Ndugu zangu, Msafara wa tembo huwa na kawaida ya kutokurudi nyuma,ndio maana porini huzioni nyayo za tembo zenye kwenda mbele na kurudi nyuma. Ni ukweli, kuwa tembo ndiye mnyama mkubwa porini, na ni mfalme wa pori. Lakini tembo hufika mahali akasumbuliwa na siafu kiasi cha kuweweseka na hata kutamani kulihama pori. Ni kwa kosa la tembo kukanyaga kichuguu cha siafu. Naam, siafu mia tano ni wengi kuliko tembo mmoja, pamoja na...

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatma ya mkwamo wa kisiasa

Zanzibar iliyogubikwa na mtafaruku wa kisiasa kufuatia kufutwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, mwaka huu inaadhimisha miaka 52 tangu kufanyika mapinduzi, Januari 12, 1964.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba mkwamo; Ukawa wasisitiza hawatarudi bungeni

>Joto la Katiba Mpya linazidi kupanda nchini, huku baadhi ya wasomi na makundi mbalimbali ya watu wakizidi kutilia shaka utapatikanaji wa Katiba hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Wazanzibari watishwa bungeni

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na kundi la 201, wameanza kupokea ujumbe wa vitisho.

Ujumbe huo ambao MTANZANIA Jumapili iliupata, umeanza kusambazwa jana asubuhi kwa simu za mkononi na unawalenga wajumbe wa kundi hilo wanaotoka Zanzibar.

Unawataka wajumbe hao wasishiriki katika hatua ya kupiga kura ya kupitisha Rasimu ya Katiba inayotarajia kuanza Septemba 2 hadi Oktoba 4.

Ujumbe huo ambao haujajulikana ulianzia wapi na umesambazwa na kundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani