Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi waomba ada ya 3,000/- kufutwa

WAZAZI Pemba wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuta ada ya Sh 3,000 ya kila mwaka kwa wanafunzi zaidi wale wanaoishi katika mazingira magumu kwani ndiyo chanzo cha wanafunzi kujiunga katika ajira ngumu na kuacha shule.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ada sekondari sasa kufutwa

Rais Jakaya KikweteSERIKALI inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.

 

11 years ago

Habarileo

Wazazi waomba viboko vitumike shuleni

WAZAZI wa watoto wanaosoma Shule ya Msingi na Sekondari Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendelea kutumia adhabu ya viboko kwa wanafunzi ili kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi.

 

10 years ago

Habarileo

Kwaruhombo waomba kujengewa wadi ya wazazi

Ridhiwani KikweteWANANCHI wa kijiji cha Kwaruhombo jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wametoa kilio cha kujengewa wadi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya cha Kwaruhombo ili wanawake wajawazito wasijifungue kwenye wadi za kawaida.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wazazi waomba Boko Haram kuwa na huruma

Wazazi wa wasichana wa shule waliotekwa nyara Nigeria wamewaomba wapiganaji wa Boko Haram kuwa na huruma na kuwaachilia watoto wao

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi 39,000 vyuo vikuu waomba mikopo

IKIWA zimebaki siku 10 kufungwa kwa shughuli ya kupokea maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2014/2015, takribani wanafunzi 39,000 wameshatuma maombi yao kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

 

10 years ago

Dewji Blog

KINUKAMORI waomba dola 30,000 kutengeneza ajira kwa watu 300

DSC_0218

Mkurugenzi Mtendaji wa EWP na Mkurugenzi wa Kinukamori Enterprises, Bw. Alpha Phares Moshi (wa pili kushoto) akimkaribisha Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez alipowasili kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na UNDP huku akiwa amembatana na Mratibu wa Kitaifa miradi ya COMPACT...

 

10 years ago

Michuzi

KINUKAMORI WAOMBA DOLA 30,000 KUTENGENEZA AJIRA KWA WATU 300

Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro Executive Wilderness Program (EWP) inatafuta dola za marekani 30,000 kwa ajili ya kuendesha program tatu zenye kutengeneza ajira, ujasirimali, utunzaji wa mazingira na mvuto kwa watalii wanaokwenda kupanda mlima Kilimanjaro.
Kauli hiyo wameitoa kwa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez wakati alipofanya ziara ...

 

11 years ago

Michuzi

Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita

Kiongozi wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea, kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan Masingisa ambaye ni mzazi. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao kupigwa shoka na mlinzi wa...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani