Wazazi waomba viboko vitumike shuleni
WAZAZI wa watoto wanaosoma Shule ya Msingi na Sekondari Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendelea kutumia adhabu ya viboko kwa wanafunzi ili kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EZUt9tlUyQkj89ILR1IbhH4XFpQgG5HdUcxUjUYOg*qe9RsVLiRA4I5fMfahdS*f7S2jvh7Ij1X*2dvUGqkWYpTbQMgE1Xmm/FIMBO4.jpg?width=650)
DENTI ALAZWA, KISA VIBOKO SHULENI
11 years ago
Habarileo05 Aug
Wazazi Z'bar wataka bakora shuleni
BAADHI ya wazazi Zanzibar, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kurudisha matumizi ya bakora shuleni kwa ajili ya kuimarisha nidhamu kwa wanafunzi. Mzazi Mohamed Haji (60) ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Bambi Wilaya ya Kati Unguja, alisema nidhamu ya wanafunzi, imepungua kwa sababu walimu wameacha kutumia adhabu za bakora shuleni.
10 years ago
Habarileo06 Sep
Wazazi waomba ada ya 3,000/- kufutwa
WAZAZI Pemba wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuta ada ya Sh 3,000 ya kila mwaka kwa wanafunzi zaidi wale wanaoishi katika mazingira magumu kwani ndiyo chanzo cha wanafunzi kujiunga katika ajira ngumu na kuacha shule.
10 years ago
Habarileo05 Jan
Kwaruhombo waomba kujengewa wadi ya wazazi
WANANCHI wa kijiji cha Kwaruhombo jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wametoa kilio cha kujengewa wadi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya cha Kwaruhombo ili wanawake wajawazito wasijifungue kwenye wadi za kawaida.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Wazazi waomba Boko Haram kuwa na huruma
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ky4MtyKP8K4/UvTWY-TAg5I/AAAAAAAFLlo/-UmnvnEqhgU/s1600/unnamed+(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-McO1S_5cpgw/Uwvv5M_DPqI/AAAAAAAFPVI/moQ0LK-HLx4/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HCzY7_P8Ng/Uwvv5fCYQjI/AAAAAAAFPVM/RMRR6eb9yTQ/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--KIC2sVOEYE/Uwvv5-rL3yI/AAAAAAAFPVY/-Djtn1iETgM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYSZOLG1dVo/Uwvv52SIYTI/AAAAAAAFPVo/1rDgW2VFyYw/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Vipaji vitumike kuboresha miradi ya ujasiriamali
KATIKA maisha mara nyingi watu hujiwekea malengo mbalimbali na ili kuyafikia wamekuwa wakiweka mikakati na mbinu kadhaa.
Wanawake wa Kitanzania hivi sasa wamekuwa na mwamko wa kujishughulisha na kazi mbalimbali ili kufikia malengo yao katika ngazi ya kifamilia na kitaifa kwa jumla.
Wengi wameamua kutokubaki nyuma kimaendeleo, hivyo kujiunga na vikundi vya ujasiriamali ili kutobweteka na kuachana na dhana ya kutegemea kila kitu kutoka kwa wenza wao.
Katika safu hii leo, Raia...
11 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo