Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi waomba viboko vitumike shuleni

WAZAZI wa watoto wanaosoma Shule ya Msingi na Sekondari Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendelea kutumia adhabu ya viboko kwa wanafunzi ili kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DENTI ALAZWA, KISA VIBOKO SHULENI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah KATIKA hali isiyo ya kawaida mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaha, Kabula Wilson (18), alipoteza fahamu kisha kukimbizwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Pwani, Tumbi, kwa madai ya kucharazwa bakora na walimu wake kisa, kukamatwa barua ya kuwatukana....Soma zaidi====>http://bit.ly/1J131ri ...

 

11 years ago

Habarileo

Wazazi Z'bar wataka bakora shuleni

BAADHI ya wazazi Zanzibar, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kurudisha matumizi ya bakora shuleni kwa ajili ya kuimarisha nidhamu kwa wanafunzi. Mzazi Mohamed Haji (60) ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Bambi Wilaya ya Kati Unguja, alisema nidhamu ya wanafunzi, imepungua kwa sababu walimu wameacha kutumia adhabu za bakora shuleni.

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi waomba ada ya 3,000/- kufutwa

WAZAZI Pemba wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuta ada ya Sh 3,000 ya kila mwaka kwa wanafunzi zaidi wale wanaoishi katika mazingira magumu kwani ndiyo chanzo cha wanafunzi kujiunga katika ajira ngumu na kuacha shule.

 

10 years ago

Habarileo

Kwaruhombo waomba kujengewa wadi ya wazazi

Ridhiwani KikweteWANANCHI wa kijiji cha Kwaruhombo jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wametoa kilio cha kujengewa wadi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya cha Kwaruhombo ili wanawake wajawazito wasijifungue kwenye wadi za kawaida.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wazazi waomba Boko Haram kuwa na huruma

Wazazi wa wasichana wa shule waliotekwa nyara Nigeria wamewaomba wapiganaji wa Boko Haram kuwa na huruma na kuwaachilia watoto wao

 

11 years ago

Michuzi

Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita

Kiongozi wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea, kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan Masingisa ambaye ni mzazi. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao kupigwa shoka na mlinzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7

 Mkuu wa mkoa wa Lindi na ujumbe wake wakikagua Zahanati ya Kijiji cha Kikulyungu wilayani Liwale  Nyumba ya wahudumu wa Afya kijiji cha kikyulungu inayojengwa kwa Msaada wa Benjamin  Mkapa Foundation   Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Ludovick Mwananzila (mwenye suti ya kijivu) akikagua miradi ya Maendeleo wilayani Liwale  Mkuu wa mkoa wa lindi MheLudovick Mwananzila akihutubia wananchi wilayani liwale  kulia ni mkuu wa wilaya ya Liwale Mhe.  Ephraim Mmbaga Mkuu wa mkoa wa Lindi akikagua...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Vipaji vitumike kuboresha miradi ya ujasiriamali

KATIKA maisha mara nyingi watu hujiwekea malengo mbalimbali na ili kuyafikia wamekuwa wakiweka mikakati na mbinu kadhaa.

Wanawake wa Kitanzania hivi sasa wamekuwa na mwamko wa kujishughulisha na kazi mbalimbali ili kufikia malengo yao katika ngazi ya kifamilia na kitaifa kwa jumla.

Wengi wameamua kutokubaki nyuma kimaendeleo, hivyo kujiunga na vikundi vya ujasiriamali ili kutobweteka na kuachana na dhana ya kutegemea kila kitu kutoka kwa wenza wao.
Katika safu hii leo, Raia...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo

>Mashindano ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari (Umisseta) yanaendelea katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na mashindano ya shule za msingi taifa (Umitashumta) yakianza leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani