Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vipaji vitumike kuboresha miradi ya ujasiriamali

KATIKA maisha mara nyingi watu hujiwekea malengo mbalimbali na ili kuyafikia wamekuwa wakiweka mikakati na mbinu kadhaa.

Wanawake wa Kitanzania hivi sasa wamekuwa na mwamko wa kujishughulisha na kazi mbalimbali ili kufikia malengo yao katika ngazi ya kifamilia na kitaifa kwa jumla.

Wengi wameamua kutokubaki nyuma kimaendeleo, hivyo kujiunga na vikundi vya ujasiriamali ili kutobweteka na kuachana na dhana ya kutegemea kila kitu kutoka kwa wenza wao.
Katika safu hii leo, Raia...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Majuto Afungua Kampuni Yake, Azungumzia Miradi ya Ujasiriamali Aliyoianzisha Tanga

Muigizaji mkongwe wa Mzee Majuto amejidhatiti zaidi kwa kufungua kampuni yake mwenyewe ya filamu.

Mzee Majuto ameiambia Bongo5 kuwa huo ni mwanzo wa mipango yake mikubwa.

“Sasa hivi na mimi nina camera zangu, nina watu wangu karibu 75 nimewafundisha vijana ili kuwapa ajira na kweli wamejiajiri, tunatengeneza mikanda, tunauza wenyewe, tunakaa mezani tunagawana. Kwahiyo tuna nguvu,” amesema Majuto.

“Halafu mimi mwenye pia nimejiweka vizuri, nimenunua shamba, nikalitengeneza vizuri, nikaweza...

 

10 years ago

Michuzi

Nishati na Madini watakiwa kuboresha tathmini ya mapendekezo ya miradi

Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini wametakiwa kuboresha ufanyaji wa tathmini ya mapendekezo ya miradi (project proposal) ya Wizara kwa uwazi kwani ina mchango mkubwa katika kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Rasilimaliwatu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Lusius Mwenda, alipokuwa akifunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya jinsi ya kuandaa mapendekezo ya miradi, sera pamoja na utekelezaji wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida

DSC05117

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.

DSC05121

Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...

 

11 years ago

Habarileo

Wazazi waomba viboko vitumike shuleni

WAZAZI wa watoto wanaosoma Shule ya Msingi na Sekondari Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendelea kutumia adhabu ya viboko kwa wanafunzi ili kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi.

 

11 years ago

Habarileo

‘Viungo vya marehemu vitumike kuokoa wagonjwa’

SERIKALI ya Tanzania imetakiwa kuangalia uwezekano wa kuanza kutumia viungo vya binadamu waliofariki dunia katika kuokoa wagonjwa wenye uhitaji ili kunusuru maisha yao na kupunguza gharama ya kufuata huduma hiyo nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo

>Mashindano ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari (Umisseta) yanaendelea katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na mashindano ya shule za msingi taifa (Umitashumta) yakianza leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hakuna haja kwa wananchi wanaoishi mipakani kutumia hati ya kusafiria, badala yake vitambulisho vingine vitumike kuvuka mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

 

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

10 years ago

Michuzi

MECK SADICK :VYANDARUA VITUMIKE KWA MATUMIZI YALIYOKUSUDIWA SIO KUFUGIA KUKU

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
SERIKALI  imeitaka jamii kutumia vyandarua  kwa malengo yaliyokusudiwa na sio vyandarua hivyo vitumike kwa ajili ya kufugia Kuku au kuvulia Samaki.



Hayo yamesemwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick wakati wa maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani ambayo hufanyika Aprili 25 kila mwaka.



Sadick amesema wafadhili mbalimbali wamekuwa wakiweka nguvu katika kupambana na Malaria hivyo ni wajibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani