DENTI ALAZWA, KISA VIBOKO SHULENI
![](http://api.ning.com:80/files/EZUt9tlUyQkj89ILR1IbhH4XFpQgG5HdUcxUjUYOg*qe9RsVLiRA4I5fMfahdS*f7S2jvh7Ij1X*2dvUGqkWYpTbQMgE1Xmm/FIMBO4.jpg?width=650)
Deogratius Mongela na Chande Abdallah KATIKA hali isiyo ya kawaida mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaha, Kabula Wilson (18), alipoteza fahamu kisha kukimbizwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Pwani, Tumbi, kwa madai ya kucharazwa bakora na walimu wake kisa, kukamatwa barua ya kuwatukana....Soma zaidi====>http://bit.ly/1J131ri ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlma9uwqJPT*c-w6Zh3lFhiNmn66X6xY9FaWnbRD7LPppuVeFzuk0TyZMdOgkAuu7bwx0ElKU2fAERIdVxZqL1k/DENTI.jpg)
DENTI ABAKWA, AZIMIA, ALAZWA
11 years ago
Habarileo18 Feb
Wazazi waomba viboko vitumike shuleni
WAZAZI wa watoto wanaosoma Shule ya Msingi na Sekondari Kitogani Mkoa wa Kusini Unguja, wameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuendelea kutumia adhabu ya viboko kwa wanafunzi ili kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi.
11 years ago
GPLANUSURIKA KUUAWA, KISA UBAKAJI WA DENTI!
10 years ago
Habarileo25 Aug
'Walimu punguzeni viboko'
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imetaka wazazi, walezi, walimu na wadau wengine kuwa macho na matumizi ya viboko kupindukia ikisema vitendo hivyo hutengeneza mazingira yasiyo rafiki kwa mtoto kujifunza.
10 years ago
Mtanzania07 Oct
Viboko vyatembezwa makaburini
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
NA VICTOR BARIETY, SENGEREMA
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wa jijini Mwanza, wamecharazwa bakora na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka kupewa fedha.
Tukio hilo la aina yake lilitokea katika Kitongoji cha Nyamwanza, Kata ya Sima, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza juzi muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kuwasili eneo la mazishi ukitokea Kanisa la Roman Catholic Parokia ya Yesu Kirsto Mfalme la mjini Sengerema.
Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Mwanablogu achapwa viboko hadharani
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mtoto akimbia kwao viboko, mijeledi
MTOTO mmoja mkazi wa wilayani Bunda mkoani Mara, amelazimika kukimbia kwao na kwenda kwenye nyumba ya mtu mwingine katika mtaa mwingine, kukwepa viboko.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Muuguzi aliyemchapa viboko mjamzito asakwe
10 years ago
Habarileo06 Sep
Walioiba NMB jela miaka 37, viboko 24
WATU watano wamehukumiwa kifungo cha miaka 37 jela na kuchapwa viboko 24 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuvamia na kupora fedha benki ya NMB tawi la Maswa kwa kutumia silaha.