Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri ahimiza usomaji vitabu kwa watoto

WADAU wa elimu wametakiwa kuwasaidia watoto kwa kuwawezesha kupata na kutumia stadi mbalimbali za lugha kupitia usomaji wa vitabu ili kuwawezesha kufanya vizuri shuleni. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ridhiwani ahimiza usomaji taarifa za mapato

MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amewataka viongozi wa serikali za vijiji kuwa na tabia ya kutoa taarifa za mapato na matumizi kila mwaka, kwani huo ndio utawala bora na wenye uwazi kwa kila mwananchi.

 

11 years ago

Michuzi

BI MWANAMKAA ABDULRAHAMAN AZINDUA VITABU VIWILI KWA WATOTO NA WAKUBWA

VITABU VIMEZINDULIWA ZANZIBAR TAREHE 14.7.2014.  NI VITABU VYAKE VYA KWANZA KUVITUNGA,KITABU CHA "MAMU NA MUNA" (KWA WATOTO) NA "MBONA KINYUME" (KWA WATU WAZIMA). MTUNZI NI BI.  MWANAMKAA ABDULRAHAMAN AMBAYE NI MWANASHERIA NA MRAJIS WA ARDHI ZANZIBAR  Mwalimu mkuu chuo cha kiislamu Zanzibar shekh Muhidin Ahmed ambae ni mgeni rasmi akizindua vitabu hivyoBi. Mwanamkaa Abdulrahman akielezea muhtasari kuhusu vitabu vyakeMwalimu mkuu chuo cha kiislamu Zanzibar shekh Muhidin Ahmed akisifia vitabu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...

 

9 years ago

Michuzi

Kandanda Day 2015 yafungua mwaka kwa kukabidhi vitabu na mipira katika kituo cha watoto.

Baada ya kufanikisha kwa Tamasha la siku ya Kandanda hapo Oktoba 17 mwaka jana, Tamasha lililobeba Ujumbe wa "#OneBallOnTxt Book" ikiwa ni Dhima kamili ya kunyanyua Mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya shule ya msingi na kuwasisitizia watoto wetu umuhimu wa kusoma pia, Timu nzima ya Wanakandanda imeonelea Kuufungua Mwaka 2016 kwa kwenda kutembelea Kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na kukabidhi Mchango wao ambao ulitokana na mauzo ya fulana za Tamasha la Siku ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Ratiba kama mbinu ya usomaji kwa wanafunzi

Tulipouanza mwaka huu tulipeana mikakati mbalimbali ya kufanya ili kufanikisha kile kilichowapeleka shuleni, nacho si kingine bali ni kufaulu mtihani wako wa mwisho.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.

 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angellah Kairuki akisisitiza namna mabaraza ya ardhi yanavyopaswa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa, wakati wa mkutano wa Waziri wa wizara hiyo  na wananchi wa kata ya Makongo leo jijini Dar es salaam. Katikati ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na wa kwanza kushoto ni Diwani wa Kata ya Makongo Deusdedith Mtiro. Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA

1nh
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri. 2nhMh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF kuhusu huduma zinazotolewa na banda la NHIF katika Maonesho ya Wiki ya Serikali za Mitaa viwanja vya Mashujaa Mtwara. nh3Msururu wa wananchi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani