Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ridhiwani ahimiza usomaji taarifa za mapato

MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amewataka viongozi wa serikali za vijiji kuwa na tabia ya kutoa taarifa za mapato na matumizi kila mwaka, kwani huo ndio utawala bora na wenye uwazi kwa kila mwananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri ahimiza usomaji vitabu kwa watoto

WADAU wa elimu wametakiwa kuwasaidia watoto kwa kuwawezesha kupata na kutumia stadi mbalimbali za lugha kupitia usomaji wa vitabu ili kuwawezesha kufanya vizuri shuleni. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar es...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi

SAM_0397

Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.

SAM_0432

Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.

SAM_0422

Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...

 

5 years ago

Michuzi

UWASILISHAJI WA TAARIFA ZA MAPATO WAFANYIKA ZANZIBAR

Na Kijakazi Abdalla
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaanza mpango wa kuzitoza kodi baadhi ya makampuni ambazo hazilipi kodi kwa kisingizio cha kupata hasara katika biashara zao.
Hayo ameyasema Afisa Mwandamizi wa Huduma na Elimu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa upande wa Zanzibar Shuweikha Salum Khalfani huko Ukumbi wa Sanaa Rahaleo wakati akiwasilisha mada ya taarifa za Mapato ambayo imewashirkisha watembezaji watalii.
Amesema kuwa kumekuwepo na changamoto ya ulipaji...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. RIDHIWANI KIKWETE JUU YA WAHALIFU WA MITANDAO

Kwanza nianze kwa kuwatakia Waislamu wenzangu wote Mfungo mwema wa mwezi wa Ramadhani na Kheri za mfungo huu zimulike katika nyumba zote, nchi zote na wale wote ambao kwa namna moja au nyengine wameshindwa kufunga mwezi huu kwa sababu mbalimbali ikiwemo hali duni ya maisha, maradhi au kubanwa na hali ambazo zinawalazimu wasipate thawabu za funga.Ni imani Mungu mwenyezi atawaangazia na kufanya wepesi kuwaondoa katika hali hiyo.
Niwaombee salaam Wadogo zangu waliotekwa Nigeria, na wale...

 

11 years ago

GPL

TAARIFA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA

Mamalaka ya Mapato Tanzania inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wafanyabiashara kwa ujumla Kuwa inasikitishwa na mgomo wa wafanyabishara kwa kufunga maduka maeneo mbali mbali nchini. Ifahamike kuwa Matumizi ya mashine ya EFD ni jambo la kisheria na lilipitishwa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2011. Pamoja na sheria kupitishwa, viongozi wakuu wa nchi walikwisha litolea tamko kwa nyakati tofauti kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ratiba kama mbinu ya usomaji kwa wanafunzi

Tulipouanza mwaka huu tulipeana mikakati mbalimbali ya kufanya ili kufanikisha kile kilichowapeleka shuleni, nacho si kingine bali ni kufaulu mtihani wako wa mwisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani