UWASILISHAJI WA TAARIFA ZA MAPATO WAFANYIKA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-yLFueGNLMpA/XmqJa11F6zI/AAAAAAAC8Wc/3quW73dyod01eWKlBjLPWH1HKHYt2qRegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na Kijakazi Abdalla
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaanza mpango wa kuzitoza kodi baadhi ya makampuni ambazo hazilipi kodi kwa kisingizio cha kupata hasara katika biashara zao.
Hayo ameyasema Afisa Mwandamizi wa Huduma na Elimu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa upande wa Zanzibar Shuweikha Salum Khalfani huko Ukumbi wa Sanaa Rahaleo wakati akiwasilisha mada ya taarifa za Mapato ambayo imewashirkisha watembezaji watalii.
Amesema kuwa kumekuwepo na changamoto ya ulipaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s72-c/DSC_0207.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MADAWA ZANZIBAR WAFANYIKA ZANZIBAR BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s640/DSC_0207.jpg)
NA RAMADHANI ALI/MAELEZO ZANZIBAR BODI ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) imeandaa miongozo ya utoaji huduma bora katika kufanikisha Mpango wa uwiano wa Itifaki ya pamoja kwa Nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?
11 years ago
Habarileo23 Mar
Ridhiwani ahimiza usomaji taarifa za mapato
MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amewataka viongozi wa serikali za vijiji kuwa na tabia ya kutoa taarifa za mapato na matumizi kila mwaka, kwani huo ndio utawala bora na wenye uwazi kwa kila mwananchi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9HWrwnsRNf7SlSQgpxYIYbKU-26uAKVsPdS6Axspy4F8uKQuNLhzWL2o4*Q5JVK1a8ZaOIiOdHoeZZ5m8O01Jo2/tra.jpg)
TAARIFA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-etKKxBdMhoQ/VeVa7k7QzRI/AAAAAAAH1dI/TlDvdnD5CP0/s72-c/DSC_0017.jpg)
MKUTANO MAALUM WA ELIMU YA SACCOS WAFANYIKA ZANZIBAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-etKKxBdMhoQ/VeVa7k7QzRI/AAAAAAAH1dI/TlDvdnD5CP0/s640/DSC_0017.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tIqfds25Vs8/VeVa7jUi0HI/AAAAAAAH1dQ/i4Ohdh5nkyY/s640/DSC_0029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9SIJZYDrKO0/VeVa8rBotUI/AAAAAAAH1dg/Eqgi2cc7Fk0/s640/DSC_0038.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA WAFANYIKA ZANZIBAR.
11 years ago
Habarileo13 May
Mapato ya Muungano Zanzibar hadharani
FEDHA zinazopelekwa Zanzibar kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kibajeti, kiuchumi na kijamii, zimewekwa wazi ambapo miongoni mwake zipo zinazotokana na Malipo ya Kodi ya Mishahara (Paye).
10 years ago
VijimamboWARSHA YA MFUMO MPYA WA KIELECTRONIKI WA USAMBAZAJI WA DAWA WAFANYIKA ZANZIBAR