Waziri asema madai ya CWT hayalipiki
SERIKALI haitaongeza vianzio vya mishahara kwa asilimia 53 kama Chama cha Walimu Nchini (CWT) kinavyotaka, kwa kuwa fedha hizo ni zaidi ya asilimia 50 ya mapato ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Aug
CWT yaitega Serikali madai ya walimu
11 years ago
Mwananchi04 Mar
CWT waanza kuitikisa Serikali madai ya Sh61 bil
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Madai ya dawa ni tangazo la vita asema Coe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fjgew9WG74M/XtZQ98JaQqI/AAAAAAALsTM/8RxW4i_CJDw5-BCEheDu7uA9IDUQtGs2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-02%2Bat%2B1.06.38%2BPM.jpeg)
WAZIRI MHAGAMA AITAKA CWT KUCHUKUA TAHADHARI YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE MKUTANO WAO
Mhe Mhagama ametembelea Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambao ndio mkutano huo utakapofanyika ambapo pia utatumika kuchagua viongozi wakuu kitaifa wa CWT.
Akizungumza baada ya kukagua maandalizi na kuzungumza na viongozi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oaYfayWYspE/Xt5HKMPmGgI/AAAAAAALtFQ/gaNNNqSW2pomjX39pxuNsbRCmpDmeNEDgCLcBGAsYHQ/s72-c/R-1-768x541.jpg)
WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NGAZI YA TAIFA NA KAMATI YA UTENDAJI CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oaYfayWYspE/Xt5HKMPmGgI/AAAAAAALtFQ/gaNNNqSW2pomjX39pxuNsbRCmpDmeNEDgCLcBGAsYHQ/s640/R-1-768x541.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa ngazi ya taifa na Kamati ya utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza viongozi hao. Kulia ni Rais wa Chama Walimu Tanzania (CWT) Bi. Leah Ulaya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/R-2-1024x695.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/R-3-1024x683.jpg)
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Waziri Mkuu asema hana kinyongo
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema hana kinyongo na mtu yeyote kwa sababu alitangaza msamaha siku aliyokabidhiwa cheti kuwa Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na kusisitiza kuwa siasa ziliisha tangu Oktoba 25, mwaka huu.
11 years ago
Habarileo30 Jan
Waziri asema deni la taifa la trilioni 27/- ni himilivu
SERIKALI imezungumzia deni la taifa la Sh trilioni 27.04 na kusema kuwa ni himilivu kwa sababu halijavuka wala kufikia kiwango cha ukomo cha kukopa kwa madeni yote; la ndani na la nje. Aidha, imesema matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD) kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sahihi za hesabu za wafanyabiashara nchini, yameiwezesha Serikali kukusanya Sh bilioni 800 kwa mwezi, tangu kuanzishwa kwa matumizi hayo mwaka 2010.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Waziri asema wananchi hawana imani na polisi