Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CWT waanza kuitikisa Serikali madai ya Sh61 bil

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kile walichodai kutofanyiwa kazi madai yao mbalimbali yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo ya walimu zaidi ya Sh61 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

CWT yaitega Serikali madai ya walimu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimeitaka Serikali kutekeleza madai ya ahadi za walimu kama walivyokubaliana na chama hicho.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri asema madai ya CWT hayalipiki

SERIKALI haitaongeza vianzio vya mishahara kwa asilimia 53 kama Chama cha Walimu Nchini (CWT) kinavyotaka, kwa kuwa fedha hizo ni zaidi ya asilimia 50 ya mapato ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi waanza kuchunguza madai ya Dk Slaa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeanza kuchunguza malalamiko ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbroad Slaa ya kutaka kulishwa sumu na Mlinzi wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT: Serikali itatue kero za walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais CWT aitupia lawama Serikali

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba ameirushia lawama Serikali kwamba inatumia fursa ya upole wa walimu kuwakandamiza kwa kutowalipa madeni yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

CWT yaiomba Serikali kuwalipa madeni yao

Chama cha Walimu (CWT) mkoani Mara kimesema kipo tayari kuanzisha mgogoro mkubwa na Serikali iwapo itafika mwishoni mwa mwezi Januari 2014 kama madeni mbalimbali wanayoyadai walimu kwa muda mrefu hayatalipwa. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yasisitiza msimamo wao ni serikali tatu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimesisitiza kuwa msimamo wa chama hicho ni muundo wa serikali tatu. Akizungumza na waandishi wa  habari jijini Dar es Salaam jana, Rais wa CWT, Gratian...

 

10 years ago

Habarileo

CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani