WAZIRI KAWAMBWA AZINDUA RASMI TAARIFA YA UTAFITI WA "KKK" TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1DwpTSOAsg/UxBHlkgbOJI/AAAAAAAFQOI/1wNBbGzsul0/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuyafikia malengo ya Milenia ya kuhakikisha utoaji wa elimu ya msingi kwa watoto wote ifikapo mwaka 2015 ambapo kwa sasa, uandikishaji wa watoto wote katika elimu ya msingi umefikia asilimia 96.2. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati akifungua warsha ya uwasilishaji wa ripoti ya upimaji wa kitaifa wa Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu maarufu KKK kwa darasa la pili uliofanyika ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBW*WWm9502JMMuoZdrqrbsV1hZdDRIne4sv04JTi3BjOdSZRMCCCFgrYS71uiA3zfjMmEA*CDshFXVjgIBsEEQ/01.jpg?width=650)
WAZIRI KAWAMBWA AZINDUA RASMI TAARIFA YA UTAFITI WA "KKK" TANZANIA
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!
Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LCHK9nz4FDQ/U-DeZgFR0QI/AAAAAAAAkyA/iNfP8KW7ey8/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Makame azindua Mtandao wa Kuunganisha Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti
![](http://1.bp.blogspot.com/-LCHK9nz4FDQ/U-DeZgFR0QI/AAAAAAAAkyA/iNfP8KW7ey8/s1600/unnamed.jpg)
Mtandao huo umeunganisha Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti 22 nchini ambapo Vyuo Vikuu mbalimbali nchini vinaweza kuwasiliana, kutoa huduma ya elimu mtandao, maktaba mtandao,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Waziri Mukangara azindua rasmi mashindano maalum shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s1600/unnamed+(72).jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI WA VIWANDA ABDALA KIGODA AZINDUA RASMI MASHINDANO YA MAGARI DAR
11 years ago
Habarileo21 Dec
Dk Kawambwa azindua Tume ya Vyuo Vikuu
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa jana amezindua Tume ya Vyuo Vikuu na kuitaka kuhakikisha wanadhibiti ubora na kiwango cha elimu inayotolewa.
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua