Waziri Mmarekani amuuliza JK utitiri wa wagombea urais
Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeongoza Kitengo cha Masuala ya Afrika, Linda Thomas-Greenfield amemuuliza Rais Jakaya Kikwete iwapo ana mtu wake katika orodha ndefu ya makada waliojitokeza kuomba kuwania urais kwa tiketi ya CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uxGn21PoPEM/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-Dcb9tWU*4AOWpjws4dFshXDt9YyW9NexzPJOOboc5cw6t5BISPIp76mDXlGtSLua5u6zUipWM9DTxf9aD30Ae6N/MizengoPinda.jpg?width=650)
UTITIRI HUU WA WAGOMBEA IWE FUNDISHO
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Waziri wa Mkapa awakingia kifua wagombea urais
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mzindakaya alipua wagombea urais
SIKU chache baada ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuanikwa na kuonekana kupandisha joto la uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameibuka na kuwataka wagombea wa nafasi nyeti kama ya urais, kujikita katika siasa safi na za kisasa zaidi.
10 years ago
Habarileo02 Feb
Wagombea urais CCM kitanzini
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Wagombea urais Tucta waonywa
WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), wametakiwa kujitambua na kujitathmini pindi wanapotaka kugombea nafasi mbalimbali katika shirikisho hilo hususani urais. Rai hiyo ilitolewa na...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Ahadi za wagombea urais zinashangaza
AHADI lukuki zimetolewa na zinaendelea kutolewa kwa wapiga kura na wagombea urais wa Jamhuri ya M
Joseph Mihangwa