Waziri wa JK ataka shule kufanya tambiko
Mpwapwa. Ingawa Serikali ya Tanzania haiamini katika ushirikina wala matambiko, kuna watu mbalimbali na jamii tofauti zinaamini katika mambo hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Jan
HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO BAADA YA MITAMBO KUGOMA KUFANYA KAZI



Za kitaa kutoka Mtwara zinadai kuwa bibi mmoja aliyeitisha Serikali kuwa ikifanya mchezo na haki za watu wa mkoa huo atabadili gesi kuwa maji, amewapigia tambiko Wafaransa wazungu wa Kampuni ya uchimbaji wa visima vya...
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Trey Songz ataka kufanya kolabo na Davido
STAA wa muziki wa R&B duniani, Trey Songz, kwa sasa yupo nchini Nigeria kwa ajili ya tamasha kubwa la muziki linalofanyika kila mwaka, Lagos, Nigeria lijulikanalo kama Pepsi Rhythm Unplugged 2015 na kuweka mikakati ya kutaka kufanya kolabo na staa wa muziki nchini humo, Davido.
Trey aliyasema hayo alipokuwa akitaka kupanda jukwaani kwa ajili ya kupiga shoo katika tamasha hilo ambapo alimwagia sifa Davido na kusema kuwa ni moja kati ya wasanii anaowakubali sana kwani ameweza kuubadilisha...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
DC ataka waliokatishwa masomo kurudi shule
SERIKALI wilayani Nzega, Tabora imewaagiza viongozi wa Idara ya Elimu kuwarudisha madarasani watoto waliokatizwa masomo kwa sababu mbalimbali. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya (DC) ya Nzega, Bituni Msangi alipozungumza...
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Vijimambo
KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE



10 years ago
Mwananchi20 Dec
Shimo la tambiko lilivyogeuka ‘jehanamu’ Handeni
9 years ago
MichuziNSSF YAADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU KWA KUFANYA USAFI SHULE YA MSINGI TANDALE
11 years ago
GPL
WAZIRI ATAKA MASOGANGE AKAMATWE
11 years ago
Habarileo19 Dec
Waziri Kawambwa ataka pongezi
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ametaka wanaobeza kazi ya wizara yake kujitokeza kupongeza kwa ufaulu wa mitihani ya wanafunzi wa darasa la saba.