Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Kawambwa ataka pongezi

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa (wa pili kushoto) akijiandaa kumzawadia mtunzi na mghani mashairi kutoka Wizara hiyo, Moshi Kisiga (kulia) baada ya kughani shairi la mafanikio na changamoto kwenye sekta hiyo, wakati Waziri alipofungua kikao cha kazi cha maofisa elimu mikoa na wa halmashauri za wilaya nchini, mjini Morogoro jana. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera. (Picha na John Nditi).WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ametaka wanaobeza kazi ya wizara yake kujitokeza kupongeza kwa ufaulu wa mitihani ya wanafunzi wa darasa la saba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kawambwa ataka tatizo la walimu litatuliwe nchini

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaWAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema ili kuboresha elimu nchini lazima tatizo la upungufu wa walimu litatuliwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Tusiime ‘yamkuna’ waziri Kawambwa

>Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam kwa kushika nafasi ya  pili kitaifa katika matokeo ya mitihani ya darasa la saba mwaka jana.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Kawambwa afanya ziara Mkoani Morogoro

Picha na Habari Na John Nditi, Morogoro
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Morogoro iliyaonza  Oktoba 20 na kufikia tamati  22, 2014
Katika ziara hiyo ya kikazi, waziri baada ya kupkea taarifa ya hali ya elimu mkoa, alitembelea Shule ya  Kilakala Sekondari ya wasichana wa vipaji maalumu kwa ajili ya kupata taarifa za elimu na kukagua miundombinu ya shule.
Waziri huyo mwenye dhamana na sekta ya elimu, pia alikitembelea Chuo cha...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI KAWAMBWA AZINDUA RASMI TAARIFA YA UTAFITI WA "KKK" TANZANIA

Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuyafikia malengo ya Milenia ya kuhakikisha utoaji wa elimu ya msingi kwa watoto wote ifikapo mwaka 2015 ambapo kwa sasa, uandikishaji wa watoto wote katika elimu ya msingi umefikia asilimia 96.2.   Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati akifungua warsha ya uwasilishaji wa ripoti ya upimaji wa kitaifa wa Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu maarufu KKK kwa darasa la pili uliofanyika ...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI KAWAMBWA AWA "LAIGWANANI" ACHANGISHA MILIONI 35 UKARABATI WA SHULE YA ENABOISHU MKOANI ARUSHA

 .Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Dk. Shukuru Kawambwa(kulia)akikabidhiwa Usinga unaomtambulisha kama mzee wa jamii ya Kimaasai(Laigwanani) na Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania(KKKT)Dayosisi  ya Kaskazini Kati mkoani Arusha,Solomon Masangwa wakati wa harambee ya kuchangia  ukarabati wa Miundombinu iliyochakaa ya Shule ya Sekondari ya Enaboishu,Shule hiyo imeanzishwa miaka  48 iliyopita na KKKT.  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Dk. Shukuru Kawambwa akitoa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!

Waziri-wa-Elimu-na-Mafunzo-ya-Ufundi-Dkt.-Shukuru-Kawambwa.

Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI KAWAMBWA AZINDUA RASMI TAARIFA YA UTAFITI WA "KKK" TANZANIA‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa  akiwaisili Hoteli ya Double Tree  jijini Dar es Salaam, tayari kuzindua warsha ya uwasilishaji wa ripoti ya  upimaji wa Kitaifa wa Stadi za kusoma ,Kuandika na Kuhesabu kwa darasa la pili iliyofanyika mwezi wa Oktoba 2013  kwa ufadhili wa serikali ya Marekani kupitia Shirika la USAID. Katikati ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Kassim Majaliwa na Kulia ni Mkurugenzi...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa pamoja na viongozi wa elimu nchini watembelea Singapore kujifunza jinsi nchi hiyo ilivyofanya mageuzi makubwa katika mfumo wa elimu na mafunzo. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika kada ya...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.

Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani