Waziri, wananchi wapinga uwekezaji
>Naibu Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Saning’o Ole Telele ametangaza kuungana na wakazi wa Ngorongoro kupinga mpango wa ujenzi wa hoteli za kitalii katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Wananchi wapinga Kiingereza bungeni
BAADHI ya wananchi wamepinga utaratibu wa wageni kutoka Kenya kutoa semina ya upatikanaji wa Katiba mpya katika nchi zao kwa Kiingereza licha ya kuwepo kwa mkalimani. Akizunguzungumza na Tanzania Daima...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Upinzani wapinga mamlaka ya waziri
Na Fredy Azzah, Dodoma
Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, wamepinga vifungu vya Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania ya mwaka 2015, vinavyompa mamlaka waziri ya kuingilia uteuzi wa viongozi huku wakisema kufanya hivyo ni sawa na shirika la umma.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Upinzani bungeni, Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi, alisema ni vyema vijana wakaachiwa wenyewe kazi ya kuchagua viongozi wao.
“Baada ya kuchambua kwa kina muswada huu...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Madiwani Msalala wapinga waraka wa Waziri Mkuu
WARAKA wa Waziri Mkuu uliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga juu ya ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya Msalala umepingwa na madiwani wa halmashauri hiyo. Akitoa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2XcAbc--FDM/VEi8RVmUxJI/AAAAAAAGs40/n060t6BIOog/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WAZIRI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI WA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2XcAbc--FDM/VEi8RVmUxJI/AAAAAAAGs40/n060t6BIOog/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AjAveUeieno/VEi8RcsIvGI/AAAAAAAGs44/q4ArU7v4Nfo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNUzdFLynxv6TY02xHvuEGHSKk3f3qrKa5DdF7waZ9qFb*bIlGXY6TfZ0Sre-*P0X7NFzTEIYR6EuOO8tC0Bw3qC/PINDA1.jpg?width=650)
MHE. PINDA AKUTANA NA WAZIRI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI WA UINGEREZA
5 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI-CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI WA MAFUTA YA ALIZETI
Ametoa rai hiyo Mei 28, 2020 alipotembelea na kukagua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula cha SUNSHINE kinachozalisha mafuta yanayotengenezwa kwa kutumia malighafi ya alizeti yanayoitwa Sunbelt kilichopo katika eneo la Zuzu Jijini Dodoma.
Akiwa katika...
10 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Pinda asisitiza umuhimu wa ardhi katika uwekezaji
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda amewatoa Watanzania hofu kuhusu suala la wageni kumiliki ardhi nchini.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akifungua mkutano wa pili wa majadiliano ya pamoja kati ya Serikali ya Mitaa ya China na Tanzania ambapo walishirikiana pia na sekta ya biashara kutoka nchi hizo.
“Hofu ni halali na ni lazima kwa Watanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u0HRqSLDfeI/XlZNlPa9EsI/AAAAAAALfhM/PoB9gRuwYPYzTTyA6tmbtA97Zdgh6r3GwCLcBGAsYHQ/s72-c/UWEKEZAJI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
10 years ago
MichuziUTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI
Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto,...