Wananchi wapinga Kiingereza bungeni
BAADHI ya wananchi wamepinga utaratibu wa wageni kutoka Kenya kutoa semina ya upatikanaji wa Katiba mpya katika nchi zao kwa Kiingereza licha ya kuwepo kwa mkalimani. Akizunguzungumza na Tanzania Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Jan
Wabunge wapinga Kiingereza shuleni
MJADALA kuhusu lugha ya kutumia kufundishia shuleni umepamba moto, ambapo baadhi ya wabunge wamejitokeza kupinga Kiingereza kutumika kufundishia shule za msingi mpaka vyuo vikuu. Wakati wabunge hao wakiwa na msimamo huo, jana Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, alisema Serikali haijafikia uamuzi wa kuruhusu Kiingereza kutumkika kuanzia shule za msingi, na hivi sasa inashughulikia changamoto kubwa zaidi.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Waziri, wananchi wapinga uwekezaji
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
10 years ago
GPLRIPOTI YA ESCROW BUNGENI YATEKA WANANCHI
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
10 years ago
Habarileo15 Oct
RC akataa Kiingereza kwenye warsha
MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone juzi alilmtaka mshereheshaji katika warsha ya wadau wa rasimu ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji Bonde la Kati kuacha kuendesha utambulisho wa wajumbe hao kwa lugha ya Kiingereza badala yake atumie Kiswahili.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kiswahili ni cha wasiojua Kiingereza?