Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wapinga Kiingereza bungeni

BAADHI ya wananchi wamepinga utaratibu wa wageni kutoka Kenya kutoa semina ya upatikanaji wa Katiba mpya katika nchi zao kwa Kiingereza licha ya kuwepo kwa mkalimani. Akizunguzungumza na Tanzania Daima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge wapinga Kiingereza shuleni

MJADALA kuhusu lugha ya kutumia kufundishia shuleni umepamba moto, ambapo baadhi ya wabunge wamejitokeza kupinga Kiingereza kutumika kufundishia shule za msingi mpaka vyuo vikuu. Wakati wabunge hao wakiwa na msimamo huo, jana Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, alisema Serikali haijafikia uamuzi wa kuruhusu Kiingereza kutumkika kuanzia shule za msingi, na hivi sasa inashughulikia changamoto kubwa zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri, wananchi wapinga uwekezaji

>Naibu Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Saning’o Ole Telele ametangaza kuungana na wakazi wa Ngorongoro kupinga mpango wa ujenzi wa hoteli za kitalii katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?

Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.

 

10 years ago

GPL

RIPOTI YA ESCROW BUNGENI YATEKA WANANCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Eric Shigongo (katikati)  na wafanyakazi wa Global wakiangalia Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe hivi sasa akiwasilisha bungeni maoni ya kamati hiyo kuhusu ripoti ya kuchotwa zaidi ya shilingi bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi

Baadhi ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali nchini wametaka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaodai nyongeza ya posho, wajiorodheshe ili waweze kufahamika kwa majina na wanakotoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wametakiwa kuwa na nidhamu na kuheshimu muda uliowekwa, kwa ajili ya vikao vya Bunge hilo badala ya kuendeleza malumbano yasiyokuwa na tija kwa Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

RC akataa Kiingereza kwenye warsha

MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone juzi alilmtaka mshereheshaji katika warsha ya wadau wa rasimu ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji Bonde la Kati kuacha kuendesha utambulisho wa wajumbe hao kwa lugha ya Kiingereza badala yake atumie Kiswahili.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili ni cha wasiojua Kiingereza?

Katika nchi nyingi za Afrika, jamii imejigawa katika jamii ndogondogo ziitwazo makabila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani