Madiwani Msalala wapinga waraka wa Waziri Mkuu
WARAKA wa Waziri Mkuu uliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga juu ya ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya Msalala umepingwa na madiwani wa halmashauri hiyo. Akitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Madiwani wapinga agizo la DC Rungwe
DIWANI wa Kata ya Kawetele Tukuyu wilayani Rungwe Mbeya, Anyimike Mwasakilali (NCCR Mageuzi), amepinga kauli ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Chrispin Meela, kutaka wananchi wachangishwe fedha kwa ajili ya ujenzi...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba
11 years ago
Habarileo16 May
Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais
WAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Mwanasheria Mkuu SMZ haujui waraka wa Kificho
9 years ago
StarTV23 Dec
Madiwani Sengerema wapinga ongezeko la gharama za matibabu ya papo kwa papo
Madiwani wilayani sengerema mkoani Mwanza wamepinga ongezeko la gharama ya matibabu ya papo kwa papo kutoka shilingi 1,500 hadi shilingi 3,000 kwa zahanati na shilingi 3000 katika kituo cha afya hadi shilingi 5,000 kwa madai kuwa haliendani na huduma inayotolewa.
Kukosekana kwa dawa za msingi, uhaba wa vifaa tiba, upungufu wa wauguzi na uchakavu wa miundo mbinu pia ni sababu ya kupinga ongezeko hilo.
Katika kikao cha kwanza cha madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Sengerema na Buchosa cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M2BSV5Rn76Y/XsPwdqAIQ9I/AAAAAAALq0M/ipEplbo1WiYkdtzeNE2I2dYDl0N9cVHGACLcBGAsYHQ/s72-c/j1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Upinzani wapinga mamlaka ya waziri
Na Fredy Azzah, Dodoma
Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, wamepinga vifungu vya Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania ya mwaka 2015, vinavyompa mamlaka waziri ya kuingilia uteuzi wa viongozi huku wakisema kufanya hivyo ni sawa na shirika la umma.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Upinzani bungeni, Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi, alisema ni vyema vijana wakaachiwa wenyewe kazi ya kuchagua viongozi wao.
“Baada ya kuchambua kwa kina muswada huu...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Waziri, wananchi wapinga uwekezaji