Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wapinga agizo la DC Rungwe

DIWANI wa Kata ya Kawetele Tukuyu wilayani Rungwe Mbeya, Anyimike Mwasakilali (NCCR Mageuzi), amepinga kauli ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Chrispin Meela, kutaka wananchi wachangishwe fedha kwa ajili ya ujenzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Msalala wapinga waraka wa Waziri Mkuu

WARAKA wa Waziri Mkuu uliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga juu ya ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya Msalala umepingwa na madiwani wa halmashauri hiyo.  Akitoa...

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais

Mwenyekiti wa Alat Taifa, Dk Didas MasaburiWAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba

>Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe, mkoani hapa wamepinga kitendo cha Serikali kuhamasisha kilimo cha mkataba wa pamba, huku wakitaka elimu itolewe kwa wananchi kulima alizeti ili kuondokana na maisha duni

 

9 years ago

StarTV

Madiwani Sengerema wapinga ongezeko la gharama za matibabu ya papo kwa papo

Madiwani  wilayani sengerema mkoani Mwanza wamepinga ongezeko la gharama ya matibabu ya papo kwa papo kutoka shilingi 1,500 hadi shilingi 3,000 kwa zahanati na shilingi 3000 katika kituo cha afya hadi shilingi 5,000 kwa madai kuwa haliendani na huduma inayotolewa.

Kukosekana kwa dawa za msingi, uhaba wa vifaa tiba, upungufu wa wauguzi na uchakavu wa miundo mbinu pia ni sababu ya kupinga ongezeko hilo.

Katika kikao cha kwanza cha madiwani wa halmashauri  ya Wilaya ya Sengerema na Buchosa cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Rungwe: Wajumbe tusiwakwaze waasisi

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Hashimu Rungwe, amewataka wenzake kufanya uamuzi kwa hekima ili kulinda hadhi za waasisi wa Muungano.

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA BARABARA TUKUYU RUNGWE

Foleni ya magari asubuhi Tukuyu Rungwe
Hali ya hewa Nzuri sana Tukuyu
Picha na Bashiru Madodi Rungwe

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakemea ushirikina Rungwe

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Moses Mashaka amekemea tabia ya wananchi wa wilaya hiyo kukumbatia imani za kishirikina na kusababisha kushika nafasi ya pili ngazi ya mkoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali Rungwe yawaangukia wenyeviti

SERIKALI wilayani Rungwe, Mbeya, jana ilisalimu amri kwa wenyeviti wa serikali za vijiji baada ya kutangaza mgomo usio na kikomo kwa kuitisha mkutano wa wenyeviti wote wa Jimbo la Rungwe...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maji Rungwe shakani

SHILINGI bilioni 4.7 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji Masoko wilayani Rungwe, Mbeya, zimeleta utata baada ya mkandarasi wa mradi huo, kushinda kesi iliyokuwa ikisikilizwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani