Madiwani wapinga agizo la DC Rungwe
DIWANI wa Kata ya Kawetele Tukuyu wilayani Rungwe Mbeya, Anyimike Mwasakilali (NCCR Mageuzi), amepinga kauli ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Chrispin Meela, kutaka wananchi wachangishwe fedha kwa ajili ya ujenzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Madiwani Msalala wapinga waraka wa Waziri Mkuu
WARAKA wa Waziri Mkuu uliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga juu ya ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya Msalala umepingwa na madiwani wa halmashauri hiyo. Akitoa...
11 years ago
Habarileo16 May
Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais
WAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba
9 years ago
StarTV23 Dec
Madiwani Sengerema wapinga ongezeko la gharama za matibabu ya papo kwa papo
Madiwani wilayani sengerema mkoani Mwanza wamepinga ongezeko la gharama ya matibabu ya papo kwa papo kutoka shilingi 1,500 hadi shilingi 3,000 kwa zahanati na shilingi 3000 katika kituo cha afya hadi shilingi 5,000 kwa madai kuwa haliendani na huduma inayotolewa.
Kukosekana kwa dawa za msingi, uhaba wa vifaa tiba, upungufu wa wauguzi na uchakavu wa miundo mbinu pia ni sababu ya kupinga ongezeko hilo.
Katika kikao cha kwanza cha madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Sengerema na Buchosa cha...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Rungwe: Wajumbe tusiwakwaze waasisi
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-zHurJ-tRjaQ/VRTfPap0kCI/AAAAAAAAzv8/2-QZdKDMdsY/s72-c/FB_IMG_1427345462102.jpg)
TASWIRA BARABARA TUKUYU RUNGWE
![](http://lh6.ggpht.com/-zHurJ-tRjaQ/VRTfPap0kCI/AAAAAAAAzv8/2-QZdKDMdsY/s640/FB_IMG_1427345462102.jpg)
![](http://lh5.ggpht.com/-5oNpX9OYwnY/VRTfQwvBN-I/AAAAAAAAzwE/GG5fIgsEKLw/s640/FB_IMG_1427345451697.jpg)
![](http://lh6.ggpht.com/-S1AzGz49y2M/VRTfSEqNw8I/AAAAAAAAzwM/Si7PmmPciZg/s640/FB_IMG_1427345446805.jpg)
![](http://lh4.ggpht.com/-lr7X6RVBRTM/VRTfTGoLXMI/AAAAAAAAzwU/XD5J80BhjTA/s640/FB_IMG_1427345435953.jpg)
![](http://lh6.ggpht.com/-ixxy4LTZ6ls/VRTfUWj0OfI/AAAAAAAAzwc/t0vL_HR4WxI/s640/FB_IMG_1427345439893.jpg)
Picha na Bashiru Madodi Rungwe
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Serikali yakemea ushirikina Rungwe
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Serikali Rungwe yawaangukia wenyeviti
SERIKALI wilayani Rungwe, Mbeya, jana ilisalimu amri kwa wenyeviti wa serikali za vijiji baada ya kutangaza mgomo usio na kikomo kwa kuitisha mkutano wa wenyeviti wote wa Jimbo la Rungwe...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Mradi wa maji Rungwe shakani
SHILINGI bilioni 4.7 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji Masoko wilayani Rungwe, Mbeya, zimeleta utata baada ya mkandarasi wa mradi huo, kushinda kesi iliyokuwa ikisikilizwa...