Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani wapinga mamlaka ya waziri

MBILINYINa Fredy Azzah, Dodoma

Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, wamepinga vifungu vya Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania ya mwaka 2015, vinavyompa mamlaka waziri ya kuingilia uteuzi wa viongozi huku wakisema kufanya hivyo ni sawa na shirika la umma.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Upinzani bungeni, Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi, alisema ni vyema vijana wakaachiwa wenyewe kazi ya kuchagua viongozi wao.
“Baada ya kuchambua kwa kina muswada huu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri, wananchi wapinga uwekezaji

>Naibu Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Saning’o Ole Telele ametangaza kuungana na wakazi wa Ngorongoro kupinga mpango wa ujenzi wa hoteli za kitalii katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Msalala wapinga waraka wa Waziri Mkuu

WARAKA wa Waziri Mkuu uliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga juu ya ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri ya Msalala umepingwa na madiwani wa halmashauri hiyo.  Akitoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuu wa kwanza kuhamia upinzani

>Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameweka rekodi ya kuwa kada wa kwanza aliyewahi kushika nafasi ya waziri mkuu kukihama chama tawala, CCM na kujiunga na upinzani.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UCHUKUZI DK. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA JENGO LA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (watatu kutoka kulia ) Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya kudumu ya Miundombinu, Peter Serukamba , Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu Serikali ya Mapunduzi ya Zanzibar, Dk. Juma Akir (kushoto) Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafii wa Anga Tanzania(TCCA) Dk. Nyamajeje Weggoro, wakishirikiana kukata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la TCAA. Uzinduzi huo ulikua sehemu ya maadhimisho ya Siku yaKimataifa ya Usafiri wa Anga Duniani(ICAD) Waziri...

 

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji atembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)


 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu KijajiNaibu Waziri wa Fedha akizungumza na Bodi ya Wakurugenzi pamoja na menejimenti ya TRA. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bw. Benard Mchomvu na Kushoto kwake ni Naibu Kamishna Mkuu Bw. Lusekelo Mwaseba.---Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji ametembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufahamiana na Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Uongozi wa TRA na kusisitiza msimamo wa serikali ya awamu ya tano katika suala...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA MAMLAKA HIYO DUNIANI

Na Miza Kona - Maelezo Zanzibar  Wanafunzi wa vyuo na sekondari wameitaka jamii kuwa na mwamko wa kufuatilia taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya hali ya Hewa pamoja na kutembelea vituo hivyo ili kuweza kujua na kupata taarifa za mwenendo wa hali ya hewa Nchini.  Kauli hiyo wameitoa leo huko katika ofisi za Mamlaka hiyo ziliopo Uwanja wa Ndege Zanzibar katika Maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani, wamesema jamii imekuwa haina mwamko mzuri katika kufuatilia taarifa za hali ya hewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani