WB yaridhishwa uboreshaji TPA
BENKI ya Dunia (WB) Kanda ya Afrika imeridhishwa na maboresho ya miundombinu yanayofanywa na Mamlaka ya Usimamzi wa Bandari (TPA) katika Bandari ya Dar es Salaam, ikisema yatainufaisha Tanzania na nchi zinazoitumia kupitisha shehena.
Makamu wa Rais wa WB Kanda ya Afrika, Makhtar Diop, aliyasema hayo alipofanya ziara bandarini kujionea miradi inayofadhiliwa na benki hiyo kuboresho miundombinu itakayoongeza ufanisi wa kazi.
“Tunatambua kuwa uboreshaji huu ni muhimu kwa Tanzania na kwa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Aug
Serikali yaridhishwa na DART
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia ameridhishwa na tathmini ya Mkutano wa Mashauriano wa awamu ya kwanza wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), uliofanyika hivi karibuni.
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM yaridhishwa na kampeni za Kalenga
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Phillip Mangula amesema amejiridhisha na mwenendo wa kampeni za chama chake katika uchaguzi mdogo wa Kalenga.
10 years ago
Habarileo29 Aug
Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
9 years ago
Habarileo04 Dec
UN yaridhishwa na utekelezaji wa miradi yake
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini (UNDP), Alvaro Rodriguez amesema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika hilo katika maeneo mbalimbali mkoani Singida kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.
10 years ago
Habarileo12 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa na DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na kuahidi kuhakikisha awamu zote za mradi zinakamilika kwa uhakika.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM yaridhishwa na upigaji kura
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Italia yaridhishwa na utekelezaji wa miradi
9 years ago
GPL26 Oct
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa mradi wa DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), ambao upo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). Akizungumza...