Serikali yaridhishwa na DART
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia ameridhishwa na tathmini ya Mkutano wa Mashauriano wa awamu ya kwanza wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), uliofanyika hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa na DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na kuahidi kuhakikisha awamu zote za mradi zinakamilika kwa uhakika.
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa mradi wa DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), ambao upo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). Akizungumza...
10 years ago
MichuziDART YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA BODI ZA PAROLE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YIGzx3EjFsk/Xr07StdcyNI/AAAAAAALqNE/eCQuklRZTNIYttV3oEwd5M946by6lgGdwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-1-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Hamad Masauni(Mb) akitoa hotuba katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi ya Taifa Parole Taifa, leo Mei 14, 2020 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/JPEG.-NA.-2-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
WB yaridhishwa uboreshaji TPA
BENKI ya Dunia (WB) Kanda ya Afrika imeridhishwa na maboresho ya miundombinu yanayofanywa na Mamlaka ya Usimamzi wa Bandari (TPA) katika Bandari ya Dar es Salaam, ikisema yatainufaisha Tanzania na nchi zinazoitumia kupitisha shehena.
Makamu wa Rais wa WB Kanda ya Afrika, Makhtar Diop, aliyasema hayo alipofanya ziara bandarini kujionea miradi inayofadhiliwa na benki hiyo kuboresho miundombinu itakayoongeza ufanisi wa kazi.
“Tunatambua kuwa uboreshaji huu ni muhimu kwa Tanzania na kwa...
10 years ago
Habarileo29 Aug
Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Italia yaridhishwa na utekelezaji wa miradi