WEMA, AUNT WAKWEPANA IKULU

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Na Richard Bukos MAHASIMU wawili katika anga la mastaa, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wiki iliyopita walikwepana na kushindwa kusalimiana, licha ya wote kuwa waalikwa katika hafla maalum ya kujipongeza iliyofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam. Â Aunt Ezekiel. Gazeti hili ambalo pia lilikuwepo kwenye viwanja hivyo vilivyosheheni mastaa wa fani mbalimbali, liliwaona wawili hao ambao awali...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
UCHAFU WA WEMA, AUNT
10 years ago
GPL
AUNT: SITAMZIKA WEMA!
10 years ago
GPL
AUNT,WEMA VILIO TUPU!
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Eti Wema, Aunt wapatana!
Waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel katika pozi.
Na MWANDISHI WETU
KITUKO! Katika hali isiyotarajiwa, waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wamepatana ghafla baada ya ugomvi wao wa muda mrefu.
Katika akaunti zao za mitandao ya kijamii, wawili hao walitupia picha wakiwa pamoja na furaha tele, baada ya hafla ya kukabidhiwa tuzo kwa wasanii zinazojulikana kama Nzumari Awards 2015, zilizofanyika Mombasa nchini Kenya,...
11 years ago
GPL
WEMA, AUNT WALA KICHAPO
11 years ago
GPL
AUNT ATIMULIWA KWA WEMA!
10 years ago
GPL
WEMA, AUNT BIFU UPYA!
11 years ago
GPL
WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB
10 years ago
GPL
AUNT AWAPATANISHA WEMA, WIFI YAKE