Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA, AUNT BIFU UPYA!

Waandishi Wetu URAFIKI wa mashaka! Mastaa wawili wa filamu Bongo, ambao walikuwa mashosti  kwa muda mrefu kabla ya kidudumtu kuingilia kati hivi karibuni na kusuluhishwa, hivi sasa bifu kati yao limeanza upya, Risasi Mchanganyiko linakujuza.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1L8FQxj

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WEMA, KAJALA BIFU UPYA!

Stori:  Shakoor Jongo na Musa Mateja ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu kuripotiwa kupatanishwa kwa mastaa wawili katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja, taarifa zisizo na shaka zilizotua kwenye meza ya Ijumaa Wikienda zinaeleza kwamba upatanisho huo haukusaidia chochote na sasa bifu jipya limeibuka kati yao. Wema Sepetu akipozi pembeni ya ndinga yake. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha ndani kilichoomba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bifu la Wema na Kajala Laibuka Upya!

Bifu la kati ya waigizaji  marafiki wa zamani Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja ‘Kay’ inadaiwa kuwa limeibuka tena upya mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Madam kuanika ubaya aliotendewa na Kajala aliyewahi kumlipia faini ya shilingi milioni 13 na kumuepusha na kifungo cha miaka 7 jela, Machi 25, 2013, kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa na  kituo cha televisheni cha EATV.

Wafuasi na mashabiki wa Kajala hawakufurahishwa na maneno ya Wema ambayo walidai yalikuwa...

 

10 years ago

GPL

AUNT ANENA MAZITO BIFU LA KAJALA, WEMA

Staa anayefanya vizuri kwenye tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Gladness Mallya
STAA anayefanya vizuri kwenye tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi. Wema na Kajala enzi wakiwa bado mashosti. Akizungumza na gazeti hili, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Aongea Mazito Bifu la Kajala, Wema

Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.

Akizungumza na gazeti  na gazeti la Ijumaa Wikienda, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.

“Jamani...

 

11 years ago

GPL

MBOTO: BIFU NA WEMA? NAANZAJE!

Stori: Maria Halimoja na Rhoda Josiah BIFU? Komediani Haji Salum ‘Mboto’ amekanusha vikali kuwa na bifu na Wema Sepetu baada ya tetesi za chinichini kuvuma kwamba wapo kwenye bifu zito. Staa wa Bongo Muvi, Wema Sepetu akipozi. Akijibu tuhuma hizo, Mboto alisema kuwa haoni sababu ya kuwa na bifu na Wema zaidi ya kushirikiana naye katika kazi na hivi karibuni amempa kazi ya kumuandikia stori na makubaliano yao...

 

11 years ago

GPL

RAMADHANI YAMALIZA BIFU LA WEMA, PENNY!

Stori: Waandishi Wetu STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema baada ya kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu na mtangazaji maarufu Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’, sasa ameamua kumsamehe rasmi kwa heshima ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Wema alisema: “Kwa moyo mweupe, nasema nimemsamehe Penny, hata nikikutana naye popote...

 

10 years ago

GPL

KAJALA AWEKA KANDO BIFU LAKE NA WEMA

Na Imelda Mtema
STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, ameibuka na kudai kuwa ameweka vitu vyote vya kitoto pembeni likiwemo suala la malumbano na kujikita katika suala la ujasiriamali. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja. Akizungumza na paparazi wetu, Kajala alisema amefanya tathmini na kugundua mastaa wengi wamekuwa wakiambulia umaskini baada ya umaarufu kupotea hivyo ameona ashtuke mapema kwa kufanya biashara...

 

11 years ago

GPL

SNURA MUSHI AINGILIA KATI BIFU LA WEMA, KAJALA

Na Chande Abdallah na Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu na muziki, Snura Mushi ameingilia kati ugomvi wa wasanii wenzake, Wema Sepetu na Kajala Masanja na kuwaagiza wamalize tofauti zao. Msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi a.k.a mama majanga. Wasanii hao ambao wameingia kwenye bifu la kufa mtu kufikia hatua ya kuanikana kwenye vyombo vya habari huku chanzo kikubwa kikitajwa ni shilingi milioni 13 ambazo Wema alimlipia...

 

11 years ago

GPL

BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA

Stori:  Imelda Mtema, Arusha
WERAWERAA! Staa wa Bongo anayesumbua kwenye mitindo na sinema, Jokate Mwegelo amekubali kushindwa baada ya kumwangukia Wema Sepetu waliyekuwa kwenye bifu la kimyakimya wakigombea penzi la Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Tukio hilo la kufungulia mwaka lilijiri wikiendi iliyopita jijini Arusha, katika kiwanja cha kulia bata, Triple A Club ambapo Wema alikuwa akimtambulisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani