WEMA, AUNT BIFU UPYA!
![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88AzPPilGI70MCiFjAgg8CN9ydbEsj9HxFLPqZPyZ-JQKEzlI7foPgoO9kYzQNl14Ha5SiDsrJTuOBWo78AttAlvQ/BACKRISASI.gif?width=650)
Waandishi Wetu URAFIKI wa mashaka! Mastaa wawili wa filamu Bongo, ambao walikuwa mashosti kwa muda mrefu kabla ya kidudumtu kuingilia kati hivi karibuni na kusuluhishwa, hivi sasa bifu kati yao limeanza upya, Risasi Mchanganyiko linakujuza.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1L8FQxj
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*eqn**7F7IRqwr7vHFTWAk-z7nyyz9P9t6uEXQS24shtR1DRNrcd9ZoUFkDSDG5wDdBg00WsTHrnQBc3kkSjPq/wema.jpg)
WEMA, KAJALA BIFU UPYA!
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Bifu la Wema na Kajala Laibuka Upya!
Bifu la kati ya waigizaji marafiki wa zamani Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja ‘Kay’ inadaiwa kuwa limeibuka tena upya mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Madam kuanika ubaya aliotendewa na Kajala aliyewahi kumlipia faini ya shilingi milioni 13 na kumuepusha na kifungo cha miaka 7 jela, Machi 25, 2013, kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa na kituo cha televisheni cha EATV.
Wafuasi na mashabiki wa Kajala hawakufurahishwa na maneno ya Wema ambayo walidai yalikuwa...
10 years ago
GPLAUNT ANENA MAZITO BIFU LA KAJALA, WEMA
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Aunt Ezekiel Aongea Mazito Bifu la Kajala, Wema
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.
Akizungumza na gazeti na gazeti la Ijumaa Wikienda, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.
“Jamani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0thuQTAzTgk69xLT1u43cmYYnDNLmuWjDh6I9yCgv5UR8xaIVNZac5xvQG5V5gvr9Uke*3T9kVZunGgsi2W1EDFh/mboto.jpg)
MBOTO: BIFU NA WEMA? NAANZAJE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkw9j-f9sOL44DBrLLrjkZUDQaVt7VAyZ*1G9sc89rc98cD1lMMHOYC1QLBnVh9r9j069daIJlZuABAfF89qLUnY/pennywema.jpg)
RAMADHANI YAMALIZA BIFU LA WEMA, PENNY!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOGWIk99rz1KHZEVFmQrtGzESqASomuUaMLrfr7XDU2lE5KbQqSWoDHsxYbpUzKXLZ0m1XyKh0zN0BwjWLW4BDM/kajala.jpg?width=650)
KAJALA AWEKA KANDO BIFU LAKE NA WEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJD*oNmDWICP6rsjfxdjThp7t6nOVaAa5oGFBQEqGMk-SMisDEzseEPVB2sOVLWZ-LSRUw*Zu-iYER6LKqjNWPCF/SNURA.jpg?width=650)
SNURA MUSHI AINGILIA KATI BIFU LA WEMA, KAJALA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1goHeGM*aQGNkR-hCZ2rnxBVw4cHjLkT*W-8kGIBcCL5fLVnHx4Ql3o*BRUtmqUXaCS7Y7N9lMzKdPJnYwTrgG/jokate.jpg?width=650)
BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA