Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger ataka ushindi mapemaaa

Arsene Wenger ameitaka timu yake kutafuta ushindi wa mapema katika pambano la mwishoni mwa wiki hii Jumamosi dhidi ya Reading.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Presha ya ushindi hainisumbui

Arsenal imekuwa ikiyaaga mashindano hayo katika misimu minne iliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Ushindi wa West Ham ni 'ajali'

Klabu ya Arsenal nchini Uingereza imesema kuwa itajikaza na kukabiliana na 'ajali' waliopata baada ya kushindwa kwa mabao 2-0 na klabu ya West Ham siku ya jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Ushindi dhidi ya Chelsea ni muhimu

Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anaamini kwamba wachezaji wake walipita kikwazo kikuu kwa kuwashinda Chelsea siku ya jumapili katika kombe la Charity Shield.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger afurahia ushindi dhidi ya Man Utd

Arsene Wenger amesema alifurahishwa sana na uchezaji wa timu yake na kueleza kuwa walishangaza Manchester United kuanzia mwanzo wa mechi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger: Ushindi dhidi ya City umetupa tumaini

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amefichua kuwa ushindi dhidi ya Man City umepiga jeki imani wanayohitaji kutwaa ligi ya Uingereza msimu huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenger ataka mabadiliko Arsenal

Arsene Wenger amewataka wachezaji wake wa Arsenal kujituma zaidi leo na kuhakikisha wanashinda katika nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya mabingwa watatezi Wigan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anataka vipimo bora vya dawa za kusisimua misuli kuchukuliwa mara kwa mara miongoni mwa wachezaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli ataka kampeni za kisayansi kupata ushindi wa tsunami

Waziri wa Ujenzi na mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema kuwa wana-CCM mwaka huu wanapaswa kufanya kampeni za kisayansi zaidi kuhakikisha wanapata ushindi wa tsunami utakaowezesha kuundwa kwa Serikali imara itakayowaletea maendeleo Watanzania wote.

 

11 years ago

Michuzi

ARSENE WENGER PWA!

Arsene Wenger jana alipatwa na majanga mawili ya mwaka baada ya kula mweleka muda mfupi baada ya timu yake ya Arsenal kupigwa 5-1 na Liverpool.  Meneja huyo wa washika bunduki wa Uingereza alikuwa anawahi treni kurudi London katika mtaa wa Lime jijini Liverpool akiwa na wachezaji wake alipoteleza na kuanguka pwa!  Meneja huyo mwenye umri wa miaka 64 anaokenana pichani akiwa anaburuta begi lake wakati akiingia stesheni, lakini mara tu baada ya kuvuka mlango wa kuingilia, anateleza na kula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani