Wenje: Waziri kutolewa kafara ufisadi escrow
>Pamoja na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kueleza kuwa hajakabidhiwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu uchotaji wa Dola 200 milioni katika akaunti ya escrow, Bunge limeelezwa kuwa kuna waziri mmoja ambaye anaandaliwa kisaikolojia kwa ajili ya kutolewa kafara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’
SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow
KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Kafulila alivyoibua ufisadi akaunti ya escrow
10 years ago
Habarileo24 Nov
CUF wajipanga kuandamana kupinga ufisadi Escrow
CHAMA cha Wananchi (CUF) kwa kushirikiana na wadau wengine kinaandaa maandamano ya kulaani vitendo walivyoviita vya kifisadi vilivyoibuliwa kuhusu akaunti ya Tegeta ya Escrow bungeni na kuwapongeza wabunge walioibua hoja hiyo.
10 years ago
Habarileo31 Jan
Chenge ataka ushahidi ufisadi akaunti ya Escrow, ATCL
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.
10 years ago
Vijimambo25 Nov
MACHUNGU YA UFISADI WA ESCROW YAANZA KUONEKANA ,SHILINGI YATANZANIA YASHUKA RASMI,SOMA HAPA KUJUA.
![](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Dar es Salaam. Hatua ya wahisani kuzuia Sh1 trilioni za misaada ya kibajeti kwa Serikali kutokana na kashfa ya IPTL na wasiwasi wa Uchaguzi Mkuu mwakani, ni miongoni mwa sababu za kuporomoka kwa kasi thamani ya Shilingi nchini, imefahamika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wiki iliyopita, wasomi na wadau wa biashara nchini walisema sababu nyingine ni uagizaji na uuzaji bidhaa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Januari 2, mwaka huu, Dola moja ya Marekani ilikuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-42.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s640/1-42.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-29.jpg)
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-30.jpg)
Baadhi ya Wananchi...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Aliyekuwa waziri mahakamani kwa ufisadi Kenya