Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenje: Waziri kutolewa kafara ufisadi escrow

>Pamoja na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kueleza kuwa hajakabidhiwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu uchotaji wa Dola 200 milioni katika akaunti ya escrow, Bunge limeelezwa kuwa kuna waziri mmoja ambaye anaandaliwa kisaikolojia kwa ajili ya kutolewa kafara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa

IAAF leo itapokea matokeo ya uchunguzi huru kuhusu madai ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli miongoni na ufisadi mwa wanariadha Urusi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waziri Masele ni mbuzi wa kafara’

SERIKALI imedaiwa kumtoa kafara Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepen Masele, kwa lengo la kuficha udhaifu wake katika sakata la tuhuma alizozitoa dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow

KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila alivyoibua ufisadi akaunti ya escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila ameeleza namna alivyoibua sakata la uchotwaji wa Sh306 bilioni kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow na kudokeza kuwa kitendo cha baadhi ya watuhumiwa kugoma kujiuzulu, kinaonyesha kuna watu zaidi wanahusika.

 

10 years ago

Habarileo

CUF wajipanga kuandamana kupinga ufisadi Escrow

CHAMA cha Wananchi (CUF) kwa kushirikiana na wadau wengine kinaandaa maandamano ya kulaani vitendo walivyoviita vya kifisadi vilivyoibuliwa kuhusu akaunti ya Tegeta ya Escrow bungeni na kuwapongeza wabunge walioibua hoja hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Chenge ataka ushahidi ufisadi akaunti ya Escrow, ATCL

Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew ChengeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.

 

10 years ago

Vijimambo

MACHUNGU YA UFISADI WA ESCROW YAANZA KUONEKANA ,SHILINGI YATANZANIA YASHUKA RASMI,SOMA HAPA KUJUA.


Dar es Salaam. Hatua ya wahisani kuzuia Sh1 trilioni za misaada ya kibajeti kwa Serikali kutokana na kashfa ya IPTL na wasiwasi wa Uchaguzi Mkuu mwakani, ni miongoni mwa sababu za kuporomoka kwa kasi thamani ya Shilingi nchini, imefahamika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wiki iliyopita, wasomi na wadau wa biashara nchini walisema sababu nyingine ni uagizaji na uuzaji bidhaa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Januari 2, mwaka huu, Dola moja ya Marekani ilikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA

Waziri wa Ardhi Nyunba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akiangalia bango linaloonesha uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wakati wa hafla fupi ya kuzindua ofisi hiyo mkoa wa Tanga jana, Kulia kwa Waziri wa Ardhi ni Katibu Mkuu Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga martine Shigela.
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
Baadhi ya Wananchi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa waziri mahakamani kwa ufisadi Kenya

Amos Kimunya ameshitakiwa kwa kosa la kutumia vibaya mamlaka pamoja na kujipatia ardhi ya umma kinyume na sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani