Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa
IAAF leo itapokea matokeo ya uchunguzi huru kuhusu madai ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli miongoni na ufisadi mwa wanariadha Urusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Mwakipesile kuanika ‘uozo’ ripoti ya Jumuiya ya Madola
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wenje: Waziri kutolewa kafara ufisadi escrow
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Ripoti ya ufisadi kuwasilishwa bungeni
10 years ago
Vijimambo20 May
RIPOTI YA CAG IMEIBUA UFISADI MKUBWA
![](http://api.ning.com/files/yIRAODsxTEyzrQZ8nscVztzoC79rARlMwnm6-8J4x*JdUEuW34kHvY9vnNqqp2XKLRVmhI60CoX6L0f0k329gzMdiHqT6Zbi/cag.jpg?width=600)
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imeibua ufisadi mkubwa katika mamlaka za Serikali za mitaa,mashirika ya umma na serikali kuu.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa ripoti ya ukaguzi mjini Dodoma jana,Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad alisema ukaguzi huo umefanywa katika taasisi 176 za Serikali kuu, halmashauri 163 na mashirika ya umma...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mdee atoboa uozo
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amewataka wakulima, wafugaji kuipiga mawe Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kutenga sh bilioni 50 kwa ajili ya safari za rais huku ikitenga...
10 years ago
Habarileo14 Sep
Uozo mkubwa barabarani
POLISI wa usalama barabarani, wametwishwa zigo la kuwa chanzo kikubwa cha ajali zilizoshamiri nchini, kutokana na vitendo vyao vya kuendekeza rushwa kutoka kwa madereva wa mabasi ya abiria.
10 years ago
Mtanzania29 Oct
Uozo vyama vya siasa
![Jaji Francis Mutungi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Francis-Mutungi.jpg)
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2012/13, imeibua uozo mkubwa katika hesabu za vyama vya siasa.
Mbali ya uozo huo, CAG pia amebaini baadhi ya vyama havina ofisi badala yake vimepanga hotelini na vingine sehemu za uchochoroni.
Ripoti hiyo inaonyesha Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Tanzania Labour (TLP), Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qgC4cn23QTmfwxMoat-LLmCpCihTC9YInsfYyBQ6tDT-wKl76SiBIalxlg*OTnTR5aw35JkBPq70bvNUA5xrw3T/uozo.jpg?width=650)
UOZO MAHOSPITALINI: OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA!
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...