Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakipesile kuanika ‘uozo’ ripoti ya Jumuiya ya Madola

Kocha wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa, Jonas Mwakipesile amesema kukosekana kwa vikinga ulimi, maandalizi duni na elimu ndogo ya makocha ndiyo vitu atakavyoviweka wazi kwa Serikali wakati wa utoaji tathmini ya ushiriki wa Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa

IAAF leo itapokea matokeo ya uchunguzi huru kuhusu madai ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli miongoni na ufisadi mwa wanariadha Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK

Mji wa Durban nchini Afrika Kusini utakuwa mji wa kwanza barani Afrika kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2022

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete ataka medali Jumuiya ya Madola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewataka wachezaji wa michezo mbalimbali wanaokwenda leo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola, kutambua heshima ya ushiriki wao na nchi pia....

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge Jumuiya ya Madola wakutana Arusha

Spika wa Bunge la Tanzania ambaye ni Rais wa Umoja wa CPA Kanda ya Afrika, Anne Makinda.MKUTANO wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajia kufanyika kwa wiki moja kuanza leo jijini hapa, huku masuala ya afya ya mama na mtoto, unyanyasaji wa wanawake na ajira kwa vijana vikiwa ni kipaumbele katika mkutano huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow

Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha mashindano ya Jumuiya ya Madola Glasgow

>Mashindano ya Jumuiya ya Madola yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi leo mjini Glasgow, Scotland, ikiwa ni michuano ya 20 tangu kuanzishwa kwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabunge Jumuiya ya Madola kuijadili Afrika

Mabunge ya nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika yanakutana Arusha kuanzia leo kujadili utekelezaji wa misingi mikuu ya Jumuiya hiyo ambayo ni utawala bora, demokrasia na haki za binadamu.

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA KUFANYIKA DAR

Ofisa Habari wa Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Florence Temba (kushoto), Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, HAB Mkwizu, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma, Roxana Kijazi pamoja na meneja mafunzo wa wakala wa utumishi kwa njia ya mtandao, Dickson Mwanyika (kulia). Kaimu Katibu Mkuu wa Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akizungumza jambo katika… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taswa kuandaa mjadala Jumuiya ya Madola

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimeanzisha utaratibu wa kuandaa midahalo mbalimbali ya masuala ya michezo kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, ambapo kwa kuanzia wataanza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani