Uozo mkubwa barabarani
POLISI wa usalama barabarani, wametwishwa zigo la kuwa chanzo kikubwa cha ajali zilizoshamiri nchini, kutokana na vitendo vyao vya kuendekeza rushwa kutoka kwa madereva wa mabasi ya abiria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
JK ALIPOIKABIDHI VODACOM CHETI CHA KUWA MDAU MKUBWA WA KUHAMASISHA WANANCHI KUHUSIANA NA SUALA LA KUZUIA AJALI BARABARANI


10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AIKABIDHI VODACOM CHETI CHA KUWA MDAU MKUBWA WA KUHAMASISHA WANANCHI KUHUSIANA NA SUALA LA KUZUIA AJALI BARABARANI
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mdee atoboa uozo
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amewataka wakulima, wafugaji kuipiga mawe Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kutenga sh bilioni 50 kwa ajili ya safari za rais huku ikitenga...
11 years ago
Mtanzania29 Oct
Uozo vyama vya siasa

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2012/13, imeibua uozo mkubwa katika hesabu za vyama vya siasa.
Mbali ya uozo huo, CAG pia amebaini baadhi ya vyama havina ofisi badala yake vimepanga hotelini na vingine sehemu za uchochoroni.
Ripoti hiyo inaonyesha Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Tanzania Labour (TLP), Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Michuzi
MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa
11 years ago
Mwananchi11 Sep
Mwakipesile kuanika ‘uozo’ ripoti ya Jumuiya ya Madola
11 years ago
GPL
UOZO MAHOSPITALINI: OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA!
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...