Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee atoboa uozo

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amewataka wakulima, wafugaji kuipiga mawe Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kutenga sh bilioni 50 kwa ajili ya safari za rais huku ikitenga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Uozo mkubwa barabarani

Kamanda wa Usalama barabarani Mohammed MpingaPOLISI wa usalama barabarani, wametwishwa zigo la kuwa chanzo kikubwa cha ajali zilizoshamiri nchini, kutokana na vitendo vyao vya kuendekeza rushwa kutoka kwa madereva wa mabasi ya abiria.

 

10 years ago

Mtanzania

Uozo vyama vya siasa

Jaji Francis Mutungi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2012/13, imeibua uozo mkubwa katika hesabu za vyama vya siasa.

Mbali ya uozo huo, CAG pia amebaini baadhi ya vyama havina ofisi badala yake vimepanga hotelini na vingine sehemu za uchochoroni.

Ripoti hiyo inaonyesha Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Tanzania Labour (TLP), Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya ufisadi na uozo IAAF kutolewa

IAAF leo itapokea matokeo ya uchunguzi huru kuhusu madai ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli miongoni na ufisadi mwa wanariadha Urusi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakipesile kuanika ‘uozo’ ripoti ya Jumuiya ya Madola

Kocha wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa, Jonas Mwakipesile amesema kukosekana kwa vikinga ulimi, maandalizi duni na elimu ndogo ya makocha ndiyo vitu atakavyoviweka wazi kwa Serikali wakati wa utoaji tathmini ya ushiriki wa Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

11 years ago

GPL

UOZO MAHOSPITALINI: OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA!

BADO hali ya huduma zinazotolewa na baadhi ya hospitali zetu nchini ni mbaya, utendaji mbovu na wagonjwa hawajaliwi hata pale inapotokea wamepelekwa wakiwa mahututi, Risasi Jumamosi linakufunulia. Eneo la hospitali ya palestina. Baada ya kuanika uozo wa hospitali kadhaa – za serikali na binafsi, sasa kikosi kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers, kilitinga katika Hospitali ya Wilaya ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa nini Magufuli aone uozo wengine wasiuone?

71d6pombeTumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo.
Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina namna nchi ‘inavyoliwa’ kwa kueleza safari holela za nje ya nchi zinavyoligharimu taifa mabilioni ya fedha na jinsi uhujumu unavyofanywa bandarini, kumezua mjadala mkubwa miongoni mwa baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya siasa nchini.

Ujasiri wa Rais Magufuli kueleza bila kificho jinsi safari za nje zinavyogharimu taifa na jinsi wizi wa kuibia nchi kupitia kodi...

 

9 years ago

StarTV

Uozo Zaidi Bandarini  Saba matatani kwa upotevu wa mapato ya Sh. Bil. 47.4

 

Jeshi la Polisi nchini linawashikilia watumishi saba kati ya 15 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania baada ya kubainika kuhusika na upotevu wa mapato ya Shilingi Bilioni 47.4  kutokana na Makontena 11,884 kutolewa bandarini bila malipo.

Pia magari 2,019 yanadaiwa kutolewa bandarini kinyemela na kusababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shilingi Bilioni moja.

Mbali na makontena hayo ikumbukwe kuwa Desemba 7, mwaka huu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alibaini makontena mengine 2,431...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza waanika uozo katika vituo vya afya nchini

Ni mtu mmoja kati ya watu 20 wenye umri zaidi ya miaka 60, na mtoto mmoja kati ya watano wenye umri chini ya miaka mitano wanaopata huduma na matibabu bure, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Twaweza.

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!

pombeZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.

Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani