Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEWE SIYO MZURI? NANI KAKUDANGANYA!

BINADAMU tumeumbwa kwa namna tofauti sana, ingawa kibaolojia, wote tuko sawa, bila kujali kama ni Wahindi, Waarabu, Wazungu, Waafrika, Wachina na makabila yote, siyo warefu, wafupi, wembamba wala wanene. Tunatofautiana akili, uwezo wa kuelewa, uwezo wa kukabili changamoto na hata jinsi ya kuishi kwenye jamii inayotuzunguka. Kuna watu wengine hawaamini kama wao wako vile walivyo kwa sababu yao wenyewe, bali wanamsingizia Mungu....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ETI KUOLEWA/KUOA RAHA, NANI KAKUDANGANYA?

Mpenzi msomaji wangu, ukijaribu kuchunguza utabaini kuwa, wengi sasa hivi wanatamani kuingia kwenye ndoa wakiwa na mitazamo tofauti; mingi mizuri. Nasema hivyo nikimaanisha kuwa, wanaamini wakiwa kwenye ndoa, watatimiza ndoto zao za muda mrefu. Upiga picha kuhusu idadi ya watoto watakaozaa, namna watakavyowasomesha na jinsi ambavyo familia itakuwa yenye furaha. Kifupi wanafikiria zaidi kuhusu mambo ambayo yatawafurahisha. Kamwe...

 

11 years ago

GPL

KUNA AFADHALI UKIMFUMANIA MUMEO NA DEMU MZURI KULIKO WEWE

WIVU ni neno lililosheheni maana nyingi kwenye maisha ya kila siku. Mtu anaweza kukasirishwa na mafanikio ya mwingine, huo pia ni wivu.Lakini ile tabia ya mwenza kutoka kimapenzi na mwingine, wengine wanaita usaliti ni wivu mkubwa zaidi na unagharimu maisha ya wengi duniani. Zipo kumbukumbu zinazoonesha kwamba, mamilioni ya watu wamepoteza maisha kutokana na kukutwa au lugha rahisi kufumaniwa na wenye wenza wao. Kuna wenza...

 

10 years ago

GPL

SIYO LAZIMA UANZE KUFANIKIWA WEWE, TIA MOYO WENGINE!

Ni wiki nyingine tunakutana kupitia safu hii ya Saikolojia, Maisha na Wewe. Natumaini kuwa umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo lakini kikubwa nimshukuru kwa kunifanya kuwa hivi nilivyo leo.
Ngugu zangu najua fika kwamba kila mtu anatamani mafanikio, kama wapo ambao wanaishi ili mradi siku zinakwenda ni wachache sana! Hii ni kwa sababu mafanikio ni kwa kila...

 

10 years ago

Mwananchi

Lugha unayowasiliana na wengine inakutambulisha wewe ni nani

Unaweza kukutana na mtu ndani ya daladala ukamgusa kidogo tu ukazua nongwa hadi ukashushiwa zigo la maneno mabaya? Wakati mwingine njiani au kwenye msongamano wa watu ukamkanyaga mtu kidogo ugomvi wake hapo kila aliyewazunguka atajua kuna mtu kakanyagwa. Hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini?

 

10 years ago

Bongo5

Music: Dully Sykes — Kwani wewe ni Nani?

Msanii nguli wa Bongo Fleva Dully Sykes amechia wimbo mpya unaitwa “Kwani wewe ni Nani?”. Studio za 4:12 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DULLY SYKES - KWANI WEWE NI NANI? (Download)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

GPL

ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?-2

BILA shaka mpenzi msomaji wa safu hii u-mzima wa afya. Tunakutana tena katika eneo letu maridhawa la kupeana elimu ya uhusiano.Kwa wale tuliokuwa pamoja, wiki iliyopita tuliianza mada iliyopo hapo juu. Mada hii ilikuwa na lengo la kuwataka wanawake wawe makini katika suala zima la kutaka kuzaa. Nilisema hatari anayoipata mwanamke asiyemjua vizuri mwanaume ni pamoja na kukubali kuwa mwanamke wa kuzugia. Yeye anachoangalia ni...

 

10 years ago

GPL

ISHU SIYO KUPEWA MIMBA, ANAYEKUPA NI NANI, WAKATI GANI?

NIJumamosi nyingine tena Mungu ametukutanisha katika safu yetu hii ya Show The Love, kwenye uwanja wetu huu tunaweza kupeana mawili matatu yahusuyo maisha ya uhusiano. Niwashukuru wote walionitumia meseji kuonesha wameguswa na mada ya wiki iliyopita iliyokuwa inasema; ‘kuna ulazima wowote wanandoa kufichana vipato vyao?’
Hakika ulijifunza vya kutosha, moja kwa moja twende tukaitazame mada yetu ya leo iliyopo hapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani