Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugha unayowasiliana na wengine inakutambulisha wewe ni nani

Unaweza kukutana na mtu ndani ya daladala ukamgusa kidogo tu ukazua nongwa hadi ukashushiwa zigo la maneno mabaya? Wakati mwingine njiani au kwenye msongamano wa watu ukamkanyaga mtu kidogo ugomvi wake hapo kila aliyewazunguka atajua kuna mtu kakanyagwa. Hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vipi kila ukutanapo na watu wengine wewe ni ombaomba tu?

"OOHOOO, afadhali nimekuona, sasa nitapata elfu ya karibu" hayo ni baadhi ya maneno ambayo siku hizi yamekuwa ni kama sala kwa jinsi yalivyo ya kawaida kutamkwa na baadhi ya watu...

 

11 years ago

GPL

WEWE SIYO MZURI? NANI KAKUDANGANYA!

BINADAMU tumeumbwa kwa namna tofauti sana, ingawa kibaolojia, wote tuko sawa, bila kujali kama ni Wahindi, Waarabu, Wazungu, Waafrika, Wachina na makabila yote, siyo warefu, wafupi, wembamba wala wanene. Tunatofautiana akili, uwezo wa kuelewa, uwezo wa kukabili changamoto na hata jinsi ya kuishi kwenye jamii inayotuzunguka. Kuna watu wengine hawaamini kama wao wako vile walivyo kwa sababu yao wenyewe, bali wanamsingizia Mungu....

 

10 years ago

GPL

SIYO LAZIMA UANZE KUFANIKIWA WEWE, TIA MOYO WENGINE!

Ni wiki nyingine tunakutana kupitia safu hii ya Saikolojia, Maisha na Wewe. Natumaini kuwa umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo lakini kikubwa nimshukuru kwa kunifanya kuwa hivi nilivyo leo.
Ngugu zangu najua fika kwamba kila mtu anatamani mafanikio, kama wapo ambao wanaishi ili mradi siku zinakwenda ni wachache sana! Hii ni kwa sababu mafanikio ni kwa kila...

 

10 years ago

Bongo5

Music: Dully Sykes — Kwani wewe ni Nani?

Msanii nguli wa Bongo Fleva Dully Sykes amechia wimbo mpya unaitwa “Kwani wewe ni Nani?”. Studio za 4:12 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DULLY SYKES - KWANI WEWE NI NANI? (Download)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Raia Mwema

Slaa na sasa Lipumba, nani wengine dhamira zitawasuta?

“KWANGU mimi kuingia Ikulu ni tunda la lengo kuu ambalo ni kurudisha maadili ndani ya nchi hii.

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani