Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WhatsApp yawabana watumiaji

Mtandao wa kijamii wa WhatsApp unawabana watu wanaotumia huduma hio kupitia programu bandia ya Android kwa muda wa saa 24.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kamati ya Zitto yawabana walioingiza ndege mbovu

Pg 3Na Elizabeth Mjatta,

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC), imeagizwa kufikishwa mahakamani kwa watumishi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliohusika na mkataba wa ukodishaji ndege mbovu.

Akizungumza wakati wa kuhitimisha taarifa ya PAC kwenye kikao kilichopokea taarifa ya ATCL, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Zitto Kabwe, alisema ukodishwaji wa ndege kutoka Kampuni ya Wallis Trading Inc. ya China kulikofanywa na wataalamu wa Tanzania kuliisababishia serikali...

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakama Kuu Tabora yawabana wanachama wa CUF

Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imetoa sharti kwa wanachama wanne wa Chama cha CUF kulipa dhamana ya SH9 milioni ili kesi waliyofungua kupinga matokea ya uchaguzi katika Jimbo la Tabora Mjini ianze kusikilizwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yalaumiwa na watumiaji

Facebook imelaumiwa kwa kuwafanyia wateja wake utafiti wa kisaikolojia bila ya kuwajulisha.

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW TO INSTALL AND USE WHATSAPP ON YOUR PC


Step 1: Download and install Bluestacks App player from the link provided at the bottom of this article.Note: Bluestacks App player is not compatible with certain anti viruses such as Bitdefender.Step 2: Once Bluestacks App player is installed, run it.Step 3: Once you run Bluestacks App player, you will be greeted with the following screen where you will be prompted to sign in with your Google account, so that you can access the Google Play Store.Step 4: Click on continue and sign in with...

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW TO USE WHATSAPP WITHOUT ANY NUMBER


Just think about using whatsapp without registering any number, that will be very cool as you will be using the whatsapp anonymously.
First of all, Save your complete Whatsapp data to your phone and uninstall the existing Whatsapp account.Now, switch your phone to Airplane Mode then Download and Install new Whatsapp on your phone.After that, go with on-screen instructions and put your phone number there, don’t it will not send the message as your phone is on flight mode.Now, it will ask you...

 

11 years ago

Mwananchi

Watumiaji wa huduma za kibenki waonywa

>Watumiaji wa huduma za kibenki wametakiwa kujiepusha na wimbi kubwa la utapeli kwa njia ya mtandao linaonekana kushika kasi siku za hivi karibuni.

 

5 years ago

Michuzi

WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA

IKIWA ni takriban mwezi mmoja umepita tangu kampuni ya simu za mkononi ya TECNO kuzindua simu yake mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao, watumiaji wengi wa simu hiyo wameeleza namna simu hiyo ya CAMON 15 ilivyo na utofauti na simu za makampuni mengine na matoleo yake yaliyopita.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...

 

11 years ago

GPL

WATUMIAJI WA FACEBOOK WAKUMBANA NA TATIZO

Muonekano wa tatizo lililotokea Facebook muda wa asubuhi baada ya watumiaji kushindwa kuingia. Wamiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook ambao una watumiaji wengi zaidi duniani wamelazimika kutoa maelezo juu ya kuondoka hewani kwa mtandao huo kwa muda wa dakika 30 dunia nzima. Msemaji wa Facebook amenukuliwa akisema kuwa “Mapema leo asubuhi tulipata tatizo kubwa la watu kushindwa kuingia na kuandika chochote au kupost...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani